antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hizo data zote ni za kupika bwashee !Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.
Uzur kuhusu maridhiano aliyesema ni kiongozi wa lumumba,,Ngoja wale Wana Sacco's wa mtaa wa ufipa waje kutoa mapovu
Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.
Kila mtu ana siku yake ya kufa. Na wewe tusubiri mungu akikuita tuseme ni adhabu kwa kumchukia magufuli.Ndiyo maana aliyefanya huu uchafuzi sasa hivi yuko motoni,Mungu hadhihakiwi kamwe
Kafa vizuri hata kaa aminiNdiyo maana aliyefanya huu uchafuzi sasa hivi yuko motoni,Mungu hadhihakiwi kamwe
GoodMara yamwisho uchaguzi tz ulifanyika 2015
Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.