antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Hizo data zote ni za kupika bwashee !Takwimu huwa hazidanganyi.
CCM ilipata 84% ya kura za uRais kwenye uchaguzi mkuu wa 2020
Chadema ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Nkasi kaskazini
CUF ilipata mbunge 1 wa kuchaguliwa Mtwara Vijijini
ACT wazalendo ilipata wabunge 3 wa kuchaguliwa Zanzibar.
Katika mazingira kama haya patahitajika maridhiano ya nini?
Sabato njema.