Viti vya wabunge na madiwani 2020 vitapungua kwa upinzania kama wasipowekeza zaidi kwa propaganda,intelejensia na ICT kuhusu Political issues
Watanzania huwa tunabaki kulalamika tu bila kuchukua hatua na kutoa uthibitisho wa malalamiko hayo,2020 viti vya ubunge na madiwani vitapungua sana kama uongozi wa upinzani hautawekeza kama nilivyoeleza hapo awaliViti KAMWE haviwezi kupungua kama uchaguzi ni huru na haki. Dikteta uchwara analijua hilo fika ndiyo sababu amekuwa mbabaishaji kuhusu katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi.
Anajua njia pekee ya kushinda ni kupora ushindi kwa marungu, visu, mapanga na mitutu ya bunduki pia kutumia kitengo cha Ikulu cha wizi wa kura.
Akili gani mkuu wakati mawakala wanatolewa wananyimwa vibali, wanapigwa, wanawekwa rumande wakati wa majumuisho ya kura, na wakikataa kutoka wanatolewa kwa mtutu, hapo utajiteteaje, unataka waingie msituni, au wafanye suicide, manake kihalali wanajua watawala hawatapita,Watanzania huwa tunabaki kulalamika tu bila kuchukua hatua na kutoa uthibitisho wa malalamiko hayo,2020 viti vya ubunge na madiwani vitapungua sana kama uongozi wa upinzani hautawekeza kama nilivyoeleza hapo awali
Hizi si dhama za Rais Kikwete viongozi wa upinzani tumieni akili kulijua hilo kinyume na hapo..........mtabaki mnashangaa