Kataa 2 ILA UKISHAKUA CCM AKILI INAHAMA ..Mimi nilikua uko na nina uzoefu...nifuate nikuambie namna ya kujitoa .CCM ndio adui wa watanzania .Acheni kua na imani potofu wakuu sitegemei hilo
1st Katiba mpya...kwani kuna tatizo!?? Why Not
CCM. Ile ya jaji walioba iliyobeba maoni ya Wana chi, maccm waliichakachua ndio vulugumechi ilipoanzaAnayezuia katiba mpya ninani
CCM. Ile ya jaji walioba iliyobeba maoni ya Wana chi, maccm waliichakachua ndio vulugumechi ilipoanza
Wasiojulikana ni kikosi kazi cha jiwe. Sasa jibu wewe jiwe alikuwa ni mtakatifu???Ila wasiojulikana unaona hao ni watakatifu?
Mnanikumbusha Kosovo,kwanza Kosovo mbali hapo jurani Congo DRC ukizingua mnazinguana,'CCM tumewavumilia vya kutosha' mmetuchosha zaidi kwa wabeba mabegi yaliyojaa kwenye vituo vya kupigia kura 2020 duu! wala sina hamu tena ya kupiga kura bila katiba mpya kwenye uchaguzi wa 2020 mmeboronga mno,Hata vipofu tumeonaCCM. Ile ya jaji walioba iliyobeba maoni ya Wana chi, maccm waliichakachua ndio vulugumechi ilipoanza
Paka Wew π izo point zako zimekusaidia nini ?maccm bhana ww ni halali kukuita ccm
Paka Wew π izo point zako zimekusaidia nini ?maccm bhana ww ni halali kukuita ccm
Ccm ni ujinga Nchi yetu nzuri Serikali mbaya
Kubali kataa Ccm ndio adui kijana
Na taifa ...ngata na kupuliza ...jaribu kufikiria pembeni kidogo utaelewa Mimi ni mpinzani forever hunitoi kwa kofia na jezi / maendeleo Ni haki yangu no propaganda ...siitaki Ccm kamwe
Kwasasa tunamaadui 4
ujinga
Maradhi
Ccm
Na .........
Wanakuwa mazuzuccm ni chama kilicho na mfano tosha na wazawa.
sehemu ambazo kuna wazawa kufanikiwa ngumu au kuendelea.
ccm ni wazawa 100%
wazawa ni watu ambao tabia zao mitaani mnafahamu
Iyo namba 3 umepatia π― Umaskini hauepukiki kukiwa na ccm...Tena saiv wanatumia tv kujipongeza hewa 80 cent ya tv na radio ni UNAFIKI Na pongezi na uongo ..bora tuangalie aljazeera hamna uhuru wa vyomboKwasasa tunamaadui 4
ujinga
Maradhi
Ccm
Na .........