Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Sijui ni kutokujielewa…sijui ni ujinga…sijui ni kutokujua unataka nini…sijui ni kutokujua kuwa hujui…sijui ni nini hasa!
Manake sielewi. Kama CCM waliiba uchaguzi wa 2020. Uchaguzi uliowapa ushindi John Pombe Magufuli na Samia Suluhu Hassan ushindi mkubwa sana, iweje leo Rais Samia apendwe sana na watu waliokuwa mstari wa mbele kudai kuwa chama chake kimeiba uchaguzi.
Au labda tatizo ni ‘low expectations’ walizonazo hao watu wanaompenda sana Samia sasa hivi?
Kwamba haiba ya upole na sauti ya upole na jinsia ya Rais Samia ni tosha kuwafanya wale walioichukia timu yake ya wakati sasa wabadili gia zao za mawazo angani na kuanza kuunga mkono juhudi za Rais Samia?
NB: Kuna baadhi ya majibu toka kwa watu fulani fulani hivi tayari nimeshajua yatavyokuwa.
Nawasubiri tu.
Manake sielewi. Kama CCM waliiba uchaguzi wa 2020. Uchaguzi uliowapa ushindi John Pombe Magufuli na Samia Suluhu Hassan ushindi mkubwa sana, iweje leo Rais Samia apendwe sana na watu waliokuwa mstari wa mbele kudai kuwa chama chake kimeiba uchaguzi.
Au labda tatizo ni ‘low expectations’ walizonazo hao watu wanaompenda sana Samia sasa hivi?
Kwamba haiba ya upole na sauti ya upole na jinsia ya Rais Samia ni tosha kuwafanya wale walioichukia timu yake ya wakati sasa wabadili gia zao za mawazo angani na kuanza kuunga mkono juhudi za Rais Samia?
NB: Kuna baadhi ya majibu toka kwa watu fulani fulani hivi tayari nimeshajua yatavyokuwa.
Nawasubiri tu.