Kama Chadema wanahongwa ili kupanga safu za chama Je wakipewa nchi si watatuuza kabisa hawa?

Kama Chadema wanahongwa ili kupanga safu za chama Je wakipewa nchi si watatuuza kabisa hawa?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Makamu Mwenyekiti wa chama Tundu Lissu anasema Kuna watu ndani ya Chadema wamenunuliwa.

Pesa zimemwagwa ili kupanga safu ndani ya chama ambayo ni nafuu kisiasa kwa wahongaji.

Hili jambo limenifanya nifikirie sana kuhusu uwezo wa CHADEMA kuongoza nchi. Kama hiki chama kinanuliwa na watu ambao kinataka kuwatoa madarakani, Je hiki chama kikikabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, wakawa wanasimamia rasilimali za nchi hawa si watatuuza mara 50 kuliko hata CCM?

Kiufupi hili suala la rushwa ndani ya CHADEMA ni doa kubwa sana. Chama kimekosa credibility, wananchi wanakosa imani na uongozi wa CHADEMA kwa kasi kubwa sana.

CHADEMA kama chama hakijakanusha madai ya makamu mwenyekiti. Kama makamu alikosea mbona hajachukuluwa hatua?, na kama hajakosea mbona hatuoni hatua za kinidhamu kwa walionunuliwa?

Hili jambo linaifanya CHADEMA ikose moral authority ya kukemea rushwa au ufisadi.
 
Makamu Mwenyekiti wa chama Tundu Lissu anasema Kuna watu ndani ya Chadema wamenunuliwa.

Pesa zimemwagwa ili kupanga safu ndani ya chama ambayo ni nafuu kisiasa kwa wahongaji.

Hili jambo limenifanya nifikirie sana kuhusu uwezo wa CHADEMA kuongoza nchi. Kama hiki chama kinanuliwa na watu ambao kinataka kuwatoa madarakani, Je hiki chama kikikabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, wakawa wanasimamia rasilimali za nchi hawa si watatuuza mara 50 kuliko hata CCM?

Kiufupi hili suala la rushwa ndani ya CHADEMA ni doa kubwa sana. Chama kimekosa credibility, wananchi wanakosa imani na uongozi wa CHADEMA kwa kasi kubwa sana.

CHADEMA kama chama hakijakanusha madai ya makamu mwenyekiti. Kama makamu alikosea mbona hajachukuluwa hatua?, na kama hajakosea mbona hatuoni hatua za kinidhamu kwa walionunuliwa?

Hili jambo linaifanya CHADEMA ikose moral authority ya kukemea rushwa au ufisadi.
Ulikywepo kabla ccm haijapewa nchi? Kinachifanya ccm wwuze nchi ni katiba mbovu,chadema sio maraika, wanalijua Hilo ndio maana wwnadai katiba mpya
 
Makamu Mwenyekiti wa chama Tundu Lissu anasema Kuna watu ndani ya Chadema wamenunuliwa.

Pesa zimemwagwa ili kupanga safu ndani ya chama ambayo ni nafuu kisiasa kwa wahongaji.

Hili jambo limenifanya nifikirie sana kuhusu uwezo wa CHADEMA kuongoza nchi. Kama hiki chama kinanuliwa na watu ambao kinataka kuwatoa madarakani, Je hiki chama kikikabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, wakawa wanasimamia rasilimali za nchi hawa si watatuuza mara 50 kuliko hata CCM?

Kiufupi hili suala la rushwa ndani ya CHADEMA ni doa kubwa sana. Chama kimekosa credibility, wananchi wanakosa imani na uongozi wa CHADEMA kwa kasi kubwa sana.

CHADEMA kama chama hakijakanusha madai ya makamu mwenyekiti. Kama makamu alikosea mbona hajachukuluwa hatua?, na kama hajakosea mbona hatuoni hatua za kinidhamu kwa walionunuliwa?

Hili jambo linaifanya CHADEMA ikose moral authority ya kukemea rushwa au ufisadi.
Umeliona hilo la samia kuuza tanganyika mbona hujaliandika humu, la ccm kuiba uchaguzi mbona hujasema kama wameiba uchaguzi wataiba kodi zetu? Umeliona la chadema
 
Hiki nacho ni kichekesho. Yaani kweli kukemea rushwa hadharani ndiko kunaifanya CHADEMA ikose "moral authority" ya kukemea rushwa!?

Kama CHADEMA haina hiyo "moral authority" ya kukemea rushwa, chama gani inayo!?

Maana kama rushwa duniani si jambo geni. Lakini anapotekea kiongozi anayesema anahisi ndani ya Chama chake Kuna rushwa, badala ya kumbagaza huyo anatakiwa kuungwa mkono.
 
CCM tunawasema daily kwa ufisadi wao. Tunategemea CHADEMA iwe bora kuliko CCM
CHADEMA ni watu siyo vyuma. Na ndani mwao watu waovu hawawezi kukosekana.

Kama Yesu Kristo ambaye wakristo wanaamini ni mwana wa Mungu alikuwa na mwanafunzi (Yuda iskarioti) aliyehongwa ili amsaliti, itakuwa CHADEMA?

Mjadala uwe CHADEMA wanafanya nini kupambana na rushwa na siyo kuamini kuwa CHADEMA haiwezi kuwa na wapenda rushwa ndani mwake.
 
CHADEMA ni watu siyo vyuma. Na ndani mwao watu waovu hawawezi kukosekana.

Kama Yesu Kristo ambaye wakristo wanaamini ni mwana wa Mungu alikuwa na mwanafunzi (Yuda iskarioti) aliyehongwa ili amsaliti, itakuwa CHADEMA?

Mjadala uwe CHADEMA wanafanya kupambana na rushwa na siyo kuamini kuwa CHADEMA haiwezi kuwa na wapenda rushwa ndani mwake.

Wao kuwa watu hakuwapi uhalali wa kununuliwa na CCM kisha chama kisichukue hatua
 
Wao kuwa watu hakuwapi uhalali wa kununuliwa na CCM kisha chama kisichukue hatua
Huo ndiyo mjadala. Kwamba chama kimechukua hatua!!??

Sasa nadhani hatua ya kwanza ni kusema Kuna rushwa. Hatua ya pili (Kwa mujibu wa Katiba ya CHADEMA) watuhumiwa wapewe tuhuma zao na wazijibu.

Kama tuhuma zitathibitika hatua kali dhidi yao zichukuliwe. Lakini pia kama hazitathibitika chama kitoe taarifa kwa umma kuwa tuhuma za rushwa hazijathibitika.
 
Makamu Mwenyekiti wa chama Tundu Lissu anasema Kuna watu ndani ya Chadema wamenunuliwa.

Pesa zimemwagwa ili kupanga safu ndani ya chama ambayo ni nafuu kisiasa kwa wahongaji.

Hili jambo limenifanya nifikirie sana kuhusu uwezo wa CHADEMA kuongoza nchi. Kama hiki chama kinanuliwa na watu ambao kinataka kuwatoa madarakani, Je hiki chama kikikabidhiwa dhamana ya kuongoza nchi, wakawa wanasimamia rasilimali za nchi hawa si watatuuza mara 50 kuliko hata CCM?

Kiufupi hili suala la rushwa ndani ya CHADEMA ni doa kubwa sana. Chama kimekosa credibility, wananchi wanakosa imani na uongozi wa CHADEMA kwa kasi kubwa sana.

CHADEMA kama chama hakijakanusha madai ya makamu mwenyekiti. Kama makamu alikosea mbona hajachukuluwa hatua?, na kama hajakosea mbona hatuoni hatua za kinidhamu kwa walionunuliwa?

Hili jambo linaifanya CHADEMA ikose moral authority ya kukemea rushwa au ufisadi.
Meku, Antipas alisha omba radhi kwa kauli yake hiyo.
 
Ninyi mmebakiza Nini baada ya kuuza bandari, KIA na Sasa Kuna tetesi hata bahari mna mpango wa kuiuza. Sijui wavuvi wa Mafia watakula wapi?
 
CHADEMA ni watu siyo vyuma. Na ndani mwao watu waovu hawawezi kukosekana.

Kama Yesu Kristo ambaye wakristo wanaamini ni mwana wa Mungu alikuwa na mwanafunzi (Yuda iskarioti) aliyehongwa ili amsaliti, itakuwa CHADEMA?

Mjadala uwe CHADEMA wanafanya nini kupambana na rushwa na siyo kuamini kuwa CHADEMA haiwezi kuwa na wapenda rushwa ndani mwake.
Umeliweka vema kabisa! asante sana
 
Kabla sijaandika zaidi, kwanza tuambie hayo maneno Lissu kayasema wapi na lini?
 
Tutauzwa mara ngapi?
 

Attachments

  • Chaz Lee - Who is this guy_ ----(SD).mp4
    1.8 MB
Hiki nacho ni kichekesho. Yaani kweli kukemea rushwa hadharani ndiko kunaifanya CHADEMA ikose "moral authority" ya kukemea rushwa!?

Kama CHADEMA haina hiyo "moral authority" ya kukemea rushwa, chama gani inayo!?

Maana kama rushwa duniani si jambo geni. Lakini anapotekea kiongozi anayesema anahisi ndani ya Chama chake Kuna rushwa, badala ya kumbagaza huyo anatakiwa kuungwa mkono.
Hawa UWT wana mawazo ya kijinga sn
 
Back
Top Bottom