Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Kwa mtei kilombero?Nilikua Arusha sehemu flani wanauza msosi kwa nje, nikasema naomba chapati mbili, yule dada akasema nakuletea moja kwanza. Oya… 🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa mtei kilombero?Nilikua Arusha sehemu flani wanauza msosi kwa nje, nikasema naomba chapati mbili, yule dada akasema nakuletea moja kwanza. Oya… 🙌
Ayatollah Khomenei wewe🤣🤣🤣Nilishawaza kuwa unamaanisha upana wa uchi wa mwanamke.
Basi nikategemea comment ya mdada, 'soseji za Sasa zimekuwa ndogo na zimelegea'.
Astagafirulillah my devil's mind.
Arusha mi mweupe kabisa ila ni mahala flani wachoma nyama wapo wengi na wauza supu ni pako chini ya miti, sio mbali sana na stend ya daladala.Kwa mtei kilombero?
Hahaha! Wanataka kutanua matumbo ya watu kwa lazimaTunapoelekea itabidi watu waanze kuagiza nusu chapati.
🤣🤣🤣 Aise jamaa hataki kabisa maswala ya lete chapati mbili hapa.Kuna jamaa alikuja Home kwetu alikua Bonge anakula chapati sita na maharage ya nazi bakuli kubwa
Yalinikuta haya juzi tu.Kuna migahawa siku hizi wanauza chapati kubwa sana, zile chapati mbili au tatu za zamani au mtaani wameziunganisha wakafanya kama chapati moja, sasa usipojua mapema ukaagiza chapati mbili linakuja furushi ambalo kumaliza inakuwa tabu tu.
Ni vyema kama chapati zako unazouza ni oversize/kubwa kuliko umpe mteja tahadhari mapema anapoagiza, au mtu uwe unaanza kuagiza chapati moja kwanza, yale mazoea ya kuagiza chapati mbili kama dozi punguzeni.
Chapati kama chapati au chapati?Kuna migahawa siku hizi wanauza chapati kubwa sana, zile chapati mbili au tatu za zamani au mtaani wameziunganisha wakafanya kama chapati moja, sasa usipojua mapema ukaagiza chapati mbili linakuja furushi ambalo kumaliza inakuwa tabu tu.
Ni vyema kama chapati zako unazouza ni oversize/kubwa kuliko umpe mteja tahadhari mapema anapoagiza, au mtu uwe unaanza kuagiza chapati moja kwanza, yale mazoea ya kuagiza chapati mbili kama dozi punguzeni.
Unatupanga mdauHizi hizi za unga wa ngano.
😀😀😀Nilishawaza kuwa unamaanisha upana wa uchi wa mwanamke.
Basi nikategemea comment ya mdada, 'soseji za Sasa zimekuwa ndogo na zimelegea'.
Astagafirulillah my devil's mind.
Mtafutieni shamba, maana anaharibu budget!Kuna jamaa alikuja Home kwetu alikua Bonge anakula chapati sita na maharage ya nazi bakuli kubwa
Ila ukitafsiri kwa lugha picha inaeleweka zaidi.Chapati kama chapati
Sikujua kama una katabia kaumalaya na wewe😅😅Nilishawaza kuwaza unamaanisha upana wa uchi wa mwanamke.
Basi nikategemea comment ya mdada, 'soseji za Sasa zimekuwa ndogo na zimelegea'.
Astagafirulillah my devil's mind.
Dadako Faiza anakutafuta.Ayatollah Khomenei wewe🤣🤣🤣
Hako katabia si kangu mamaa. Ni sheitwani kapitia akilini mwangu.Sikujua kama una katabia kaumalaya na wewe😅😅
Kwakweli kakupitia au umeshapiga kaglasi?Hako katabia si kangu mamaa. Ni sheitwani kapitia akilini mwangu.
zuchu alivyoimba chapati alimaanisha mbunye?Nilishaanza kuwaza unamaanisha upana wa uchi wa mwanamke.
Basi nikategemea comment ya mdada, 'soseji za Sasa zimekuwa ndogo na zimelegea'.
Astagafirulillah my devil's mind.
Njooo kule basi. Nikutonye.Kwakweli kakupitia au umeshapiga kaglasi?