Kama chuki kweli Clouds fm mnatisha kwa Lady J dee

Kama chuki kweli Clouds fm mnatisha kwa Lady J dee

Choice fm ni yao pia lkn wao naona hawana matatizo nae, matangazo ya machozi band yanapewa airtime na hata nyimbo hiyo ya Ben pol ikipigwa jina la jide linatajwa bila shida, he ni kwa kuwa wanatangaza kwa kiingereza? nijuzeni
 
Karedio kenyewe hata kwenye tuneIn hakapo halafu wanaringa ndo mana siku hizi mi nasikiliza tbc taifa na nyumbani ni nyumbani na nikijisikia kuchoka na ka smart phone kangu nasikiliza redio za mbele na sio haka karedio ka kinafiki ,,, big uo yahaya unaishi wapi

tbc nao ni janga jingine la taifa
 
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?

Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.

lazima wewe utakuwa kibonde tu
 
Siku moja kuna dada muimba taarab mke wa hammer q aliambiwa na Dina Marios aimbe wimbo wowote wa bongo flava,akaimba usiusemee moyo wa Jide alikatizwa hewan haraka sana.
 
Daaaa pamoja na kwamba kiasi flani mnawainua wasanii wa Hapa nyumbani ila hampo sawa kwa msanii Lady j dee! kama haujanielewa sikiliza clouds fm wiki ijayo kwenye wimbo wa BEN POL. Jikubali pale anapolitaja jina la j dee. wameminya ile mbaya. Najiuliza kumshirikisha jide tu kunaweza pelekea usipate sapoti ya media hii ambayo inajiita Radio ya watu! Watz bwana! yaani mtu kueleza ukweli jinsi anavyoibiwa kosa. Hata kama hammpendi j dee basi wimbo ni wa ben paul basiii hakuna haja ya kulibana jina la jdee. Radio gani ya watu yenye ubaguzi? Walipeni cha kwao ila msiwaibie kwa kigezo cha kuwanyima airtime kwenye kiredio chenu. ikumbukwe kwenye vikwazo ndo fursa hizo. siungi mkono huo utaratibu wenu. wewe Kusaga na nani na nani........ mjipangeeeeeeeeeeeeeeee.
Mimi nilishaacha zamani kusikiliza Radio yao,maana wao na magamba akilizao zinafanana,ni walafi wa kila kitu kuanzia pesa mpaka ngono kwa wasanii wa kike,nasikia na sembe pia wanahusika nayo,ni genge jingine la uhalifu sema kwa kuwa liko karibu na magamba inakuwa ngumu kuligusa.
 
Kama redio ilimuoji mtu aliyeandika bongofleva kwenye mtiani wake wa mwisho wa taifa na kumpongeza wanafundisha nin vijana wetu ningekuwa Tcra ningeifunga akuna maadili matusi kibao
 
chezea clouds wew...nawapenda cz hawana shobo na m2...haha hamna jina la Jde ndani ya clouds..ukimshirikisha jde peleka nyimbo zako ktk media nyingne
 
yeye ndo anaongoza kwa shobo na wivu wa kike! Na kiherehe zaidi

Tena ukimchunguza zaidi atakuwa amekulia kwenye familia hoi watu wa namna hii akipata kidogo anakuwa na roho ya kuwaminyia wenzake
 
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?

Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.
Kumbe upo! nakusalimu! Inaelekea wewe ni Immortal kwa jinsi ulivyomwita Jay D .
 
nimesha sahau kama kuna kitu inaitwa clouds fm, c ckiliz radio ya majungu na unyonyaji. PUMBAVUUUU

mi namskilizaga shafii dauda2,ila nae anazngua coz nmegundua ukiperuz goal.com jion ukimsiklza anapita mulemule!
 
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?

Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.

we ndo ruge nini?
 
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?

Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.

Kibabu hando naona umeamua kujibu kwa niaba ya maleberali wenzio.
 
Afu nackia huyo geru mwenyewe ana umwiki na akupi job had ukudinye... Jide uko juu mama
 
Back
Top Bottom