Karedio kenyewe hata kwenye tuneIn hakapo halafu wanaringa ndo mana siku hizi mi nasikiliza tbc taifa na nyumbani ni nyumbani na nikijisikia kuchoka na ka smart phone kangu nasikiliza redio za mbele na sio haka karedio ka kinafiki ,,, big uo yahaya unaishi wapi
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?
Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.
kwan kibonde ndio nani pale clouz..? Paka amjibu huyu
kwan kibonde ndio nani pale clouz..? Paka amjibu huyu
Mimi nilishaacha zamani kusikiliza Radio yao,maana wao na magamba akilizao zinafanana,ni walafi wa kila kitu kuanzia pesa mpaka ngono kwa wasanii wa kike,nasikia na sembe pia wanahusika nayo,ni genge jingine la uhalifu sema kwa kuwa liko karibu na magamba inakuwa ngumu kuligusa.Daaaa pamoja na kwamba kiasi flani mnawainua wasanii wa Hapa nyumbani ila hampo sawa kwa msanii Lady j dee! kama haujanielewa sikiliza clouds fm wiki ijayo kwenye wimbo wa BEN POL. Jikubali pale anapolitaja jina la j dee. wameminya ile mbaya. Najiuliza kumshirikisha jide tu kunaweza pelekea usipate sapoti ya media hii ambayo inajiita Radio ya watu! Watz bwana! yaani mtu kueleza ukweli jinsi anavyoibiwa kosa. Hata kama hammpendi j dee basi wimbo ni wa ben paul basiii hakuna haja ya kulibana jina la jdee. Radio gani ya watu yenye ubaguzi? Walipeni cha kwao ila msiwaibie kwa kigezo cha kuwanyima airtime kwenye kiredio chenu. ikumbukwe kwenye vikwazo ndo fursa hizo. siungi mkono huo utaratibu wenu. wewe Kusaga na nani na nani........ mjipangeeeeeeeeeeeeeeee.
yeye ndo anaongoza kwa shobo na wivu wa kike! Na kiherehe zaidi
Tena ukimchunguza zaidi atakuwa amekulia kwenye familia hoi watu wa namna hii akipata kidogo anakuwa na roho ya kuwaminyia wenzake
Kumbe upo! nakusalimu! Inaelekea wewe ni Immortal kwa jinsi ulivyomwita Jay D .Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?
Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.
nimesha sahau kama kuna kitu inaitwa clouds fm, c ckiliz radio ya majungu na unyonyaji. PUMBAVUUUU
Kwani chenyewe kinataka hata kutajwa kwenye hiyo redio?
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?
Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.
Haters gonna hate..............,
Hicho kibibi mbona chenyewe kwenye ule waraka wake kiliandika kwamba hakitaki Ruge na Joey waende kwenye msiba wake na kama ikitokea wakienda basi washabiki na wapenzi wake wawapopoe mawe...sasa kwa nini Clouds waendelee kukipa promo?
Hivyo kama unazungumzia chuki basi anza kwanza na hicho kibibi. Hakina bifu ya kweli na Clouds zaidi ya kutafuta kiki tu.