Kama Daktari wa Binadamu anaumizwa na kifo cha mgonjwa. Je, ni maumivu gani aliyonayo mtekaji na muuaji?

Kama Daktari wa Binadamu anaumizwa na kifo cha mgonjwa. Je, ni maumivu gani aliyonayo mtekaji na muuaji?

Mdogo wangu ni retired Dr. Juzi alikuwa anaangalia kumbukumbu ya kifo kwenye tv. Moja ya tangazo aliloliona ni tangazo la mgonjwa aliyefariki miaka 12 baada ya kumfanyia upasuaji, alishtuka na kuumia sana.

Mdogo wangu aliumia si kwa sababu nyingine bali anaeleza kuwa wao madaktari ni walinzi wa uhai na kiapo chao ni kuokoa maisha. Anaposhuhudia uhai ukitoka mikononi mwao pamoja na juhudi kubwa walizofanya uumia sana. Daktari utibu kwa akili za kawaida lakini pia kila hatua umshirikisha Mungu awape ulinzi na mwongozo wa Nini wafanye, anasema huyu ndugu yangu.

Story na machungu aliyonayo yakanifanya nijiulize ni namna gani baadhi ya matangazo kwenye social media na vyombo vingine kwa habari yanawaumiza watu tusiowajua? Lakini nikasema ukitenda kwa haki maumivu ya kile ulichokiona yataambatana na faraja kutoka kwa Mungu.

Lakini nilipoanza kutafakari nikakumbuka juzi nilisoma kumbukizi ya Mawazo aliyeuawa Geita, Leo nikaona wanamzungumzia Ben Saanane aliyetekwa na kupotea tusijue alipo, nikakumbuka kuwa kuona kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi nk nikajiuliza Hawa waliotenda haya waonapo matangazo wanaumizwa Kama madaktari? Wakiumizwa ujifariji kwa kipi ilihali awakufanya kwa haki?

Ewe mwanadamu, social media na viweka kumbukumbu vimewekwa kukumbusha uliyowatendea wanadamu wenzio, hatutachoka kuwakumbuka waliotangulia, vivyo hivyo atutachoka kukukumbusha huko uliko kwamba huu uhai ulitoka kwa maelekezo yako, kwa mikono yako au kufedha zako.

Hii dhambi haina toba zaidi ya kukiri hadharani. Kuua toba yake ni kukiri adharani, Mwenyenzi Mungu hana siri
Uumia[emoji777]Huumia[emoji818]
Utibu[emoji777]Hutibu[emoji818]
Hoja yako imeeleweka vizuri ila siku nyingine kwenye uandishi wako zingatia hayo makosa uliyo yafanya kama ni mswahili mwenzangu,ila kama ni mgeni nakupa hongera umejitahidi.
 
Adui wa MTU mweusi ni Mweusi mwenyewe...

Magufuli anasahau kuwa kumwaga Damu isiyo hatia ni LAANA juu ya Nchi na ndo maana Utajiri wote wa Tanzania unaenda Ulaya na Amerika kwasababu ya laana ya watawala.
Wakiambiwa ukweli povu.wanaiba Kodi zetu wanaficha mabenki ya ulaya, Hakuna mtawala wa kiafrica asiyenuka damu za watu.Waafrika waliouliwa na wakoloni weusi ni kuliko waliouliwa na wakoloni weupe.
 

Attachments

  • Screenshot_20200518_071225.jpg
    Screenshot_20200518_071225.jpg
    78.1 KB · Views: 3
Mdogo wangu ni retired Dr. Juzi alikuwa anaangalia kumbukumbu ya kifo kwenye tv. Moja ya tangazo aliloliona ni tangazo la mgonjwa aliyefariki miaka 12 baada ya kumfanyia upasuaji, alishtuka na kuumia sana.

Mdogo wangu aliumia si kwa sababu nyingine bali anaeleza kuwa wao madaktari ni walinzi wa uhai na kiapo chao ni kuokoa maisha. Anaposhuhudia uhai ukitoka mikononi mwao pamoja na juhudi kubwa walizofanya uumia sana. Daktari utibu kwa akili za kawaida lakini pia kila hatua umshirikisha Mungu awape ulinzi na mwongozo wa Nini wafanye, anasema huyu ndugu yangu.

Story na machungu aliyonayo yakanifanya nijiulize ni namna gani baadhi ya matangazo kwenye social media na vyombo vingine kwa habari yanawaumiza watu tusiowajua? Lakini nikasema ukitenda kwa haki maumivu ya kile ulichokiona yataambatana na faraja kutoka kwa Mungu.

Lakini nilipoanza kutafakari nikakumbuka juzi nilisoma kumbukizi ya Mawazo aliyeuawa Geita, Leo nikaona wanamzungumzia Ben Saanane aliyetekwa na kupotea tusijue alipo, nikakumbuka kuwa kuona kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi nk nikajiuliza Hawa waliotenda haya waonapo matangazo wanaumizwa Kama madaktari? Wakiumizwa ujifariji kwa kipi ilihali awakufanya kwa haki?

Ewe mwanadamu, social media na viweka kumbukumbu vimewekwa kukumbusha uliyowatendea wanadamu wenzio, hatutachoka kuwakumbuka waliotangulia, vivyo hivyo atutachoka kukukumbusha huko uliko kwamba huu uhai ulitoka kwa maelekezo yako, kwa mikono yako au kufedha zako.

Hii dhambi haina toba zaidi ya kukiri hadharani. Kuua toba yake ni kukiri adharani, Mwenyenzi Mungu hana siri
Tumuulize mchoma sindano za sumu Kijana Doto James mwenyekiti wa Uvccm duniani
 
Pieter W Botha alikuwa sahihi kabisa Kwa hiki alicho kisema...
Ukisoma history sijawahi sikia gavana au mtawala wa kikoloni amewahi iba Kodi za wananchi, kujilimbikizia mali, kuficha pesa nje kwenye mabenki ya ulaya,kujijengea magabolite (Mobutu),au machato,au makabarak (Moi) au kasri la zuma, au kujenga mahekalu ulaya ( mobutu, Mugabe, abacha, au kujaza vyumba madola ( bashir).
Ubinafsi, uroho, uuaji, uzinzi, ushirikina,
 
Mdogo wangu ni retired Dr. Juzi alikuwa anaangalia kumbukumbu ya kifo kwenye tv. Moja ya tangazo aliloliona ni tangazo la mgonjwa aliyefariki miaka 12 baada ya kumfanyia upasuaji, alishtuka na kuumia sana.

Mdogo wangu aliumia si kwa sababu nyingine bali anaeleza kuwa wao madaktari ni walinzi wa uhai na kiapo chao ni kuokoa maisha. Anaposhuhudia uhai ukitoka mikononi mwao pamoja na juhudi kubwa walizofanya uumia sana. Daktari utibu kwa akili za kawaida lakini pia kila hatua umshirikisha Mungu awape ulinzi na mwongozo wa Nini wafanye, anasema huyu ndugu yangu.

Story na machungu aliyonayo yakanifanya nijiulize ni namna gani baadhi ya matangazo kwenye social media na vyombo vingine kwa habari yanawaumiza watu tusiowajua? Lakini nikasema ukitenda kwa haki maumivu ya kile ulichokiona yataambatana na faraja kutoka kwa Mungu.

Lakini nilipoanza kutafakari nikakumbuka juzi nilisoma kumbukizi ya Mawazo aliyeuawa Geita, Leo nikaona wanamzungumzia Ben Saanane aliyetekwa na kupotea tusijue alipo, nikakumbuka kuwa kuona kilichotokea Zanzibar kwenye uchaguzi nk nikajiuliza Hawa waliotenda haya waonapo matangazo wanaumizwa Kama madaktari? Wakiumizwa ujifariji kwa kipi ilihali awakufanya kwa haki?

Ewe mwanadamu, social media na viweka kumbukumbu vimewekwa kukumbusha uliyowatendea wanadamu wenzio, hatutachoka kuwakumbuka waliotangulia, vivyo hivyo atutachoka kukukumbusha huko uliko kwamba huu uhai ulitoka kwa maelekezo yako, kwa mikono yako au kufedha zako.

Hii dhambi haina toba zaidi ya kukiri hadharani. Kuua toba yake ni kukiri adharani, Mwenyenzi Mungu hana siri
Huyo ni daktari wa enzi hizo. Hawa wa siku hizi sidhani kama wanasikitika mgonjwa akipoteza maisha. Wao na manesi wao, vifo vya kizembe kabisa vinawapata WaTz, wao wapo wapo tu.
 
Back
Top Bottom