Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Aisee jamaa yuko fit jamani,
Wanasema mwenye nacho anaongezewa nilichokiona Jana jamaa alikuwa anarushiwa dolla kama Yale makaratasi ya miatano pale leaders
Nilikuwa Serena hotel KGL tukaambiwa Davido anapanda soon jukwaani, heheeeee.Jama amejipanga jamani alishia kuzoa dola za wazungu nilitamani niwe namwokotea.
Alifanya kazi aliotumwa nakama amelipwa basi kihalali.
Nasema hivi nilisikia Majuzi alienda kufanya shoo alipolipwa akatangaza live zinaenda kwa watoto yatima na kumkabidhi mkurugenzi wake zote.
Wanasema mwenye nacho anaongezewa nilichokiona Jana jamaa alikuwa anarushiwa dolla kama Yale makaratasi ya miatano pale leaders
Nilikuwa Serena hotel KGL tukaambiwa Davido anapanda soon jukwaani, heheeeee.Jama amejipanga jamani alishia kuzoa dola za wazungu nilitamani niwe namwokotea.
Alifanya kazi aliotumwa nakama amelipwa basi kihalali.
Nasema hivi nilisikia Majuzi alienda kufanya shoo alipolipwa akatangaza live zinaenda kwa watoto yatima na kumkabidhi mkurugenzi wake zote.