Aisee jamaa yuko fit jamani
Wanasema mwenye nacho anaongezewa nilichokiona Jana jamaa alikuwa anarushiwa dolla kama Yale makaratasi ya miatano pale leaders
Nilikuwa Serena hotel Kgl tukaambiwa davido anapanda soon jukwaan heheeeee. ......
Jama amejipanga jaamani alishia kuzoa dola za wazungu nilitamani niwe namwokotea
Alifanyaakazi aliotumwa nakama amelipwa basi kihalali
Nasema hivi nilisikia Majuzi alkendafanya shoo alipolipwa akatangaza live zinaenda kwa watoto yatima na kumkabidhi mkurugenzi wake zotee
anajitahidi sana......
Pdidy toka tulivyoachana jana ndio unaamka saa hizi?? kweli pombe sio chai katafute hata mchemsho wa kuku unywe kaka
Pdidy mbona uandishi ka improve sana.....Na pididi anajitahidi kuandika vizuri.
Haahaaaa
MBUNGUNII KUNA MAKAO MAZURI SANA MBINGUN KWELI KUNA MAKAO MAZURI SANA
DEO UTAONA WATU WAKISOMS HUO WIMBO AWARUDI TENA SIJUI WANQOGOPAGA NINI
anajitahidi sana......
Na pididi anajitahidi kuandika vizuri.
We umeelewa alichoandika?
Haahaaaa
MBUNGUNII KUNA MAKAO MAZURI SANA MBINGUN KWELI KUNA MAKAO MAZURI SANA
DEO UTAONA WATU WAKISOMS HUO WIMBO AWARUDI TENA SIJUI WANQOGOPAGA NINI