Kusaga anamiliki 51pc ya Wasafi
Kitenge amekuwepo EFM hajawahi wasumbua Clouds
Kumwembe sijawahi elewa anaongea nini.
Uzuri ni kuwa kwenye faida bado wenye Clouds wanapata 51
Kusaga anamiliki 51pc ya Wasafi
Kitenge amekuwepo EFM hajawahi wasumbua Clouds
Kumwembe sijawahi elewa anaongea nini.
Uzuri ni kuwa kwenye faida bado wenye Clouds wanapata 51
Hiyo wasafi yenyewe ni ya Clouds.Kama Diamond kaweza kutumia ushawishi wake na uwezo wake wa fedha kuwavutia Edo na na Kitenge kukubali kusainiwa na wasafi media
Basi ni mda muafaka kwa kunguni wa pale mawingu kujiangalia upya kuwa Platnumz sio level yao, ni muda muafaka sasa vijana hawa wenye wivu na chuki wakiongozwa na Bdzn,Sudy,Ayo kujiangalia upya na kuacha chuki zao kwani ipo siku platnumz atakuja kuwa bosi wao.
Diamond ameonyesha mfano wa kuigwa kwa kuendesha wasafi bila ubaguzi, wasafi inacheza ngoma zote bila ubaguzi japo, imeshawaita baadhi ya wasanii kwenye interview lakini wanakataa sababu ya chuki binafsi.
Cha maana mwenye kutengenezewa pesa anatengenezewa, mwenye kujali umaarufu anaupata. Tatizo ni letu walala hoi na ushabiki.wasafi ni icon ya mond hata kusaga awe na share kiasi gani pale mond ndio kila kitu
ila pia DIAMOND anaweza kusema NO SIMTAKI HUYO na akizira kazi akaikosa mtu.Diamond hawezi kuwaajiri, ni Joe Kusaga ndio amewapa kazi. Diamond kazi yake ni kuwa mbele tu, ya nyuma ya pazia wanafanya mabosi wake Joe na mkewe na wengine wachache.
ila pia DIAMOND anaweza kusema NO SIMTAKI HUYO na akizira kazi akaikosa mtu.
ina maana ukisema hawezi unamaanisha Hata share/hisa za diamond RadioniHawezi, bosi wake Joe ndio yupo juu ya kila kitu. Amekuwa bosi wake miaka yote tangu aanze kuwakawaka.
Unajua maana ya shareholders??wasafi ni icon ya mond hata kusaga awe na share kiasi gani pale mond ndio kila kitu
Hawezi, bosi wake Joe ndio yupo juu ya kila kitu. Amekuwa bosi wake miaka yote tangu aanze kuwakawaka.
Hayo utayajua wewe! Sisi tuchojua wasafi ni Mondi, Mondi ndio Wasafi.
Na wewe buana unaandika kama sio wa mjini?,Mawingu na Wasafi si za mtu mmoja?Kama Diamond kaweza kutumia ushawishi wake na uwezo wake wa fedha kuwavutia Edo na na Kitenge kukubali kusainiwa na wasafi media
Basi ni mda muafaka kwa kunguni wa pale mawingu kujiangalia upya kuwa Platnumz sio level yao, ni muda muafaka sasa vijana hawa wenye wivu na chuki wakiongozwa na Bdzn,Sudy,Ayo kujiangalia upya na kuacha chuki zao kwani ipo siku platnumz atakuja kuwa bosi wao.
Diamond ameonyesha mfano wa kuigwa kwa kuendesha wasafi bila ubaguzi, wasafi inacheza ngoma zote bila ubaguzi japo, imeshawaita baadhi ya wasanii kwenye interview lakini wanakataa sababu ya chuki binafsi.
I don't care
Kusaga hua anafanya kazi zake hivyo kama ilivyokua clouds Marehemu Ruge alikua kila kitu,pamoja na hayo haimfanyi kua sio mmliki wao ambaye ana share kubwawasafi ni icon ya mond hata kusaga awe na share kiasi gani pale mond ndio kila kitu