Si atafukuzwa kazi na kitu kizuri kwa millardayo hajawahi kumsema vibaya diamond anamuheshimu sio Kama hao kunguni wenginekama hyupo awe anaripoti habri za wcb
Kama Diamond kaweza kutumia ushawishi wake na uwezo wake wa fedha kuwavutia Edo na na Kitenge kukubali kusainiwa na wasafi media
Basi ni mda muafaka kwa kunguni wa pale mawingu kujiangalia upya kuwa Platnumz sio level yao, ni muda muafaka sasa vijana hawa wenye wivu na chuki wakiongozwa na Bdzn,Sudy,Ayo kujiangalia upya na kuacha chuki zao kwani ipo siku platnumz atakuja kuwa bosi wao.
Diamond ameonyesha mfano wa kuigwa kwa kuendesha wasafi bila ubaguzi, wasafi inacheza ngoma zote bila ubaguzi japo, imeshawaita baadhi ya wasanii kwenye interview lakini wanakataa sababu ya chuki binafsi.
Diamond ana bifu na clouds.Kusaga anamiliki 51pc ya Wasafi
Kitenge amekuwepo EFM hajawahi wasumbua Clouds
Kumwembe sijawahi elewa anaongea nini.
Uzuri ni kuwa kwenye faida bado wenye Clouds wanapata 51
Acha mbwembwe... facts uzitoe wapi! Mbona umebaki "njoo BRELA! Njoo BRELA" Kwanini usiweke hapa hizo facts hadi utake mtu aende BRELA!naweza nikaongea fact kumbe vijana humu mna ushabiki wenu unawaendesha kuamini unavyoamini..
Man, hivi mtu mwenye 45% anatumiwa tumiwa vipi?! Yaani na wewe unaamini mtu anaweza kupewa 45% ya share kwa ajili ya jina lake, SERIOUS?!Dogo umekulia wapi, Wasafi si ya Diamond.....anatumiwa tu kama kioo pale.
Huyo ni msukule wa mangeMan, hivi mtu mwenye 45% anatumiwa tumiwa vipi?! Yaani na wewe unaamini mtu anaweza kupewa 45% ya share kwa ajili ya jina lake, SERIOUS?!
Sasa Mondi anayepata asilimia zaidi ya 40 na B12 aliyeajiriwa unawafananishaje?Kusaga anamiliki 51pc ya Wasafi
Kitenge amekuwepo EFM hajawahi wasumbua Clouds
Kumwembe sijawahi elewa anaongea nini.
Uzuri ni kuwa kwenye faida bado wenye Clouds wanapata 51
Tatizo ndio linaanzia hapo.Watanzania wengi uelewa wao ni mdogo sana alafu wanajifanya wanajua
Akikujibu, naomba uni-tag! Yaani hadi leo watu wanashindwa kutofautisha kati ya Business Partner na Bosi!! Yaani mtu awe na share 45% halafu useme ni Mwajiriwa wa yule mwenye 55%!!!Sasa Mondi anayepata asilimia zaidi ya 40 na B12 aliyeajiriwa unawafananishaje?
Mke wake na sio Kusaga ila huwezi jua labda Kusaga alimpa mke wake kuficha watu wasijue ila kaa ujue Mke na Mume ni mwili mmojaWewe una uhakika gani kusaga ana share kubwa wakati yeyemwenyewe kasema sio mmiliki wa wasafi.
Haya kafanye kazi sasa maana kutwa unatumia nguvu sana kumtetea Diamond wakati ana maisha yake na wewe katafute maisha yako kapambane kijanaHao jamaa hawataki kukubali Mondy ni habari nyingine na pia wana wivu alafu pia mondi ndio CEO wa wasafi ataukiangalia studio ya wasafi yeye ndio amedesign kwa mujibu wa wafanyakazi wake yeye ndio mwenye power kubwa pale hatakwenye kulipa mishahara na Kila mtu anaetaka kuonesha kipindi chake wasafi lazima aonane na mondi na ndio mtu anayeingia nae makubaliano mfano dude wa tamthiliya ya bongodaresalaam ameongea hili na sasa hiv amesema wamekubali maslahi na mondi na rasmi atarusha bongodaresalaam season 2 Kama huyo kusaga ana nguvu hio mnayosema hapa mbona ngoma za lady Jay Dee zinapigwa ingawa wanaugomvi mkubwa na jide lakini pia jide amefanya pia interview hapo hapo wasafi.
Acha uwongo,Diamond alivyopambana kuisimamisha Wasafi leo mtu aitumie kizembe bila yeye mwenyewe kunufaika,atakua mpumbavu basi,kwa mtu aliyeanzia chini kabisa tunamuona leo anamiliki 45% ya media house mnaona ni kitu kidogo?hebu tupunguze chuki kidogo,kijana amepambana.naweza nikaongea fact kumbe vijana humu mna ushabiki wenu unawaendesha kuamini unavyoamini..
Inaweza kuwa kweli ni za Kusaga au za mke wake kwa sababu yule dada kwao pesa ipo! Na mimi naamini ni ya mke wake, kwa sababu ukiangalia mtu wa tatu kwenye ile shareholding ni Mzee Ali Khatibu. Sehemu nyingi zilizo na mkono wa yule dada, mzee Ali hakosekani... nahisi atakuwa ni ndugu yake!Mke wake na sio Kusaga ila huwezi jua labda Kusaga alimpa mke wake kuficha watu wasijue ila kaa ujue Mke na Mume ni mwili mmoja