Pre GE2025 Kama Dkt. Ndugulile atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO (Afrika) basi Komredi Makonda atakuwa na Nafasi ya kugombea Ubunge Kigamboni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Rais Samia amesharidhia Dr Faustine Ndugulile kwenda kuihudumia Dunia kama atateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Afya Duniani Kanda ya Afrika

Endapo atateuliwa kuitumikia Dunia basi Ubunge wa Kigamboni utakuwa Wazi na itakuwa fursa muhimu kwa Paul Makonda na Yericko Nyerere wa Chadema kuchuana kuelekea Mjengoni

Baadae Mlale Unono πŸ˜„πŸ˜„πŸ”₯
 
Makonda kama anapenda kujaribu ubunge aende kwao koromije, mjini kunahitaji watu wenye akili
 
Wacha we
 
Hali ya Kisiasa Kigamboni imeshamgeuka rafiki yangu Ndugulile.

Ni vyema akaenda huko ili ajipange akirejea awe na kitu kipya
 
Yasimkute yaliyomkuta Kihiyo Temeke.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…