inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Nilikua na one a level,nkaenda apply udsm,2002,nliosoma nao a level na wakapata 3 yenye E waliapply na wakasoma private, minimum qualification ya degree ni E mbili na SNigga u must be insane!
Unazungumzia kusomeshwa na serikali, minimum qualification ya degree ni E mbili na SMiaka inakwenda mbio.
Miaka yetu kwa E mbili na S hata Advanced diploma sina hakika kama ungesoma ππ.
Walisoma ordinary diploma miaka miwili kupata sifa za ziada kujiunga chuo kikuu.
Ni kipindi tukiwa na chuo kikuu kimoja, Morogoro na Muhimbili vikiwa vitivo. Ushindani ulikuwa mkubwa sana.
Huko ndiko tulikotoka.
Ulipata "one a level" lakini unaandika "nkaenda"Nilikua na one a level,nkaenda apply udsm,2002,nliosoma nao a level na wakapata 3 yenye E waliapply na wakasoma private, minimum qualification ya degree ni E mbili na S
Vuta nkuvute...unajua hiyo riwaya,uliisoma o level!?...ilikosewa!?Ulipata "one a level" lakini unaandika "nkaenda"
"Nliosoma nao"
!!!!!
Kweli elimu ya bongo ni "takataka".
Hard to verify wha'chu sayin hereNilikua na one a level,nkaenda apply udsm,2002,nliosoma nao a level na wakapata 3 yenye E waliapply na wakasoma private, minimum qualification ya degree ni E mbili na S
Kuna qualifications za kusoma degree Kama ilivyo kusoma a level,huwezi Fanya mtihani a level Kama huna c tatu o level, minimum qualification ya degree kwa mfumo wetu ni principal pass e mbili na S mojaHard to verify wha'chu sayin here
Tuseme una 50% 50% kua true or false.....sidhani kama mimi nakuamini with this,I cant!
Pia kumbuka UDSM kuna rushwa kama mashirika mengine yeyote nchi hii,hivyo anything is possible
Huwajui CCM mkuu, mtu hamtaki lakini anampigia kura huku machozi yanamlengalenga Kisha kaambiwa na mwenyekiti wake "nileteeni Makonda"Kabisa Mkuu yaani mtu kabisa na akili zake timamu ampigie kura bashite awe kiongozi wake.
Akyanane huyo lazima atakuwa amerogwa
D mbili mkuu, mwenye E mbili akienda degree mwenye diploma itakuaje!! Kuna mwaka hapa walileta siasa walichukua watu wenye E mbili lakini wakafuta. Kwa Tanzania yetu E mbili na S husomi degreeNilikua na one a level,nkaenda apply udsm,2002,nliosoma nao a level na wakapata 3 yenye E waliapply na wakasoma private, minimum qualification ya degree ni E mbili na S
Atakuwa amechanganya desa, minimum qualification Kwa degree kwa vyuo vyote Tanzania ni credit 5 kwa O-level na at least uwe na principle pass ya point 5 kwa masomo ya A-level maana yake DDS ukiwa na F though kuna miaka hapo katikati walileta siasa wakachukua mpaka wenye E ila walifuta tena haikudumu hata mwakaMiaka inakwenda mbio.
Miaka yetu kwa E mbili na S hata Advanced diploma sina hakika kama ungesoma ππ.
Walisoma ordinary diploma miaka miwili kupata sifa za ziada kujiunga chuo kikuu.
Ni kipindi tukiwa na chuo kikuu kimoja, Morogoro na Muhimbili vikiwa vitivo. Ushindani ulikuwa mkubwa sana.
Huko ndiko tulikotoka.
Mara nyingi tukio likitoa zile nyuzi za zamani zinapanda juu huenda kutokana na jina la Ndugulile kutajwa tajwa kwenye baadhi ya nyuzi.... alafu na mie kama nikafukua kabuli kwa ku-comment na wala sikushitukia kama ni uzi wa May mpaka niliposoma comment yakoAseeee uzi wa May yamekuja kutokea September
Nakunywa chai hapa kalengaMimi Mnyalu wa Kalenga ππ
Unaumia ukiwa wapi?WAkina Lucas Mwashambwa wameshateleza na akili ya mkuu johnthebaptist na kujifanya kuja na hoja fikirishi ambayo kumbe origin yake ni post hii ya john, ngombe kabisa wale.
Tumeshasikia mengi kuwa huwa hawadhindi kwa sanduku la kura wana mbinu zao serikali inazijua.Kabisa Mkuu yaani mtu kabisa na akili zake timamu ampigie kura bashite awe kiongozi wake.
Akyanane huyo lazima atakuwa amerogwa
Unasoma degree kwa E mbili na principal moja,ni standard ila kwa kwetu utalipia mwenyewe,diploma ni E na S,D mbili a level ni two hiyoD mbili mkuu, mwenye E mbili akienda degree mwenye diploma itakuaje!! Kuna mwaka hapa walileta siasa walichukua watu wenye E mbili lakini wakafuta. Kwa Tanzania yetu E mbili na S husomi degree