mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Ni kweli kuna watu oale EPL ukiwaona uwezo wao hauna tofauti na walioko Africa.
Natambue kuwa Elie Mpanzu na Clement Mzize wanacheza nafasi tofauti ila Mpanzu anaonekana ana kipaji kuliko Mzize, kuanzia skills dribbleling, mikimbio, control, speed, sense amemzidi pakubwa Samatta alijaribu EPL akataka kufia uwanjani dakika 90 za ubelgiji workrate yake ni sawa na kucheza dakika 15 za epl so mechi moja ya EPL sawa na mechi sita za ubelgiji
Labda abebwe na bahati ila si vingine
Natambue kuwa Elie Mpanzu na Clement Mzize wanacheza nafasi tofauti ila Mpanzu anaonekana ana kipaji kuliko Mzize, kuanzia skills dribbleling, mikimbio, control, speed, sense amemzidi pakubwa Samatta alijaribu EPL akataka kufia uwanjani dakika 90 za ubelgiji workrate yake ni sawa na kucheza dakika 15 za epl so mechi moja ya EPL sawa na mechi sita za ubelgiji
Labda abebwe na bahati ila si vingine