Nipe strength za mzize over mpanzuDah uko serious kweli?
Mpira wa Ulaya washatoka kwenye "kadenge na mpira" huko n kutimiza majukumu yako mama pia uwe physically fit ..
Ndo maana wengi hua wanashangaa kwann Kibu D ni favourite kwa Kila kocha anaenda simba.. au kwa sasa mzize anahitajika na vilabu vingi kuliko wapiga chenga..
Ni kweli kuna watu oale EPL ukiwaona uwezo wao hauna tofauti na walioko Africa.
Natambue kuwa Elie Mpanzu na Clement Mzize wanacheza nafasi tofauti ila Mpanzu anaonekana ana kipaji kuliko Mzize, kuanzia skills dribbleling, mikimbio, control, speed, sense amemzidi pakubwa Samatta alijaribu EPL akataka kufia uwanjani dakika 90 za ubelgiji workrate yake ni sawa na kucheza dakika 15 za epl so mechi moja ya EPL sawa na mechi sita za ubelgiji
Labda abebwe na bahati ila si vingine
Noted with thanksNi Kweli lakini sio ulaya
Title na habari uliyoandika haviendani. Mzize anaweza kucheza Ulaya ila inategemea ligi ipi na daraja gani. Haji Mnoga anacheza Ulaya siamini kama ni bora kuliko Mzize hata kama wanacheza nafasi tofauti. Novatus yuko Ulaya kwa nini Mzize ashindwe?Ni kweli kuna watu oale EPL ukiwaona uwezo wao hauna tofauti na walioko Africa.
Natambue kuwa Elie Mpanzu na Clement Mzize wanacheza nafasi tofauti ila Mpanzu anaonekana ana kipaji kuliko Mzize, kuanzia skills dribbleling, mikimbio, control, speed, sense amemzidi pakubwa Samatta alijaribu EPL akataka kufia uwanjani dakika 90 za ubelgiji workrate yake ni sawa na kucheza dakika 15 za epl so mechi moja ya EPL sawa na mechi sita za ubelgiji
Labda abebwe na bahati ila si vingine
1. Mechi ya Simba vs CS Constantine (inayotoka Kaskazini), Mpanzu alipewa pasi na Ngoma na kisha akaigusa (chini ya sekunde moja) kumpa Kibu D ambaye alifumua shuti likawa bao la kwanzaMpanzu si tu hawezi kucheza soka la ulaya bali hata kaskzini ya Afrika, Mpira wa kisasa unachezwa kwa kasi nguvu na maarifa.
Mpanzu akipewa pasi anakaa na mpira mpaka sekunde 20/25 na kuna muda anamsubiri mpinzani ili ampige chenga.
Mpira uo unaweza kucheza Tanzania tena kwenye baadhi ya mechi.
EPL msingi mbio means pumzi uwe nazo kama zote bila ya ivyo hutoboiNi kweli kuna watu oale EPL ukiwaona uwezo wao hauna tofauti na walioko Africa.
Natambue kuwa Elie Mpanzu na Clement Mzize wanacheza nafasi tofauti ila Mpanzu anaonekana ana kipaji kuliko Mzize, kuanzia skills dribbleling, mikimbio, control, speed, sense amemzidi pakubwa Samatta alijaribu EPL akataka kufia uwanjani dakika 90 za ubelgiji workrate yake ni sawa na kucheza dakika 15 za epl so mechi moja ya EPL sawa na mechi sita za ubelgiji
Labda abebwe na bahati ila si vingine
Hio nafasi imeenda kwa salum mwalimu. Yeye aendelee kufunga na kusali sana ije nafasi nyingine na asali na kufunga kwa ajili ya viongoz wake waliomnyima rizki ikaenda kwa salum mwalimu.Baada ya kumalizika ligi kuu, NBC premier league, ataandoka yanga, kila mtu na zama zake
Stay tuned