KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Kwanini mtoto wa kiume unawaza kupewa....kitu gani kinakusukuma kuwaza hivyo.....kwani unawaza kupewa na mwanaume mwenzio anaye asumbua akili na nguvu kufikia hapo alipo......
Hilo wazo la kuwaza kupewa unapaswa kulikemea kwa nguvu zote hasa kwa wewe mtoto wa kiume.....siku za usoni linaweza kuja kukuletea fedheha.......
Hilo wazo la kuwaza kupewa unapaswa kulikemea kwa nguvu zote hasa kwa wewe mtoto wa kiume.....siku za usoni linaweza kuja kukuletea fedheha.......