Kama Feisal Salum angekuwa sio mtanzania, TFF isingeweka kiza kwenye suala lake. Akijichukulia ni Mzanzibari atapatiwa haki haraka

Kama Feisal Salum angekuwa sio mtanzania, TFF isingeweka kiza kwenye suala lake. Akijichukulia ni Mzanzibari atapatiwa haki haraka

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
Baada ya Tff kutoa hukumu yenye maneno matano tu "Feitoto "Ni mchezaji halali wa Yanga kimkataba"

Kwenye press release na hukumu waliyomtumia bila kufafanua chochote kwenye mkataba Licha ya kuomba kila Mara nimegundua anaonewa kwasababu mbili kuu.

Kwanza Ni mtanzania na Yuko chini ya Tff hivyo Tff wanaamini wanaweza kumkunja wanavyotaka.

Pili Ni Mzanzibari hivyo Tff hawana uchungu nae ata akiporomoka kisoka au wakimchanganya kisaikolojia kwani hatumikii timu ya soka ya bara Bari Zanzibar.

Sizungumzii usahihi au kutokuwa sahihi kwa maamuzi hayo Bali kupatiwa review ili aone vifungu vilivyomfunga akubaliane navyo au avipinge mamlaka ya juu.


Angakuwa Ni msenegali au mmalawi nazani mashilikisho ya nchi zao zingeingilia Kati na Tff kutoa review au hukumu ya haki. Lkn Sasa ndio wenyewe tu wanamfanya wanavyotaka na kuwaacha mashabiki mbumbumbu kumshambulia bila kujjua undani wake.

Ni hatari feitoto kukubaliana na upuuzi huu.

Nashauri Sasa Hilo alipeleke kisiasa. Kwanza ajione yeye Ni Mzanzibari, pili atumie shirikisho la soka Zanzibar kupigania haki zake ili wamtumie kwenye Michuano yao wakiwa timamu.
Kama ftt wanawaweza zff Basi atumie Wanasiasa wa Zanzibar ili swala lake liwe wazi akatafute haki anapopataka.
 
Baada ya Tff kutoa hukumu yenye maneno matano tu "Feitoto "Ni mchezaji halali wa Yanga kimkataba"

Kwenye press release na hukumu waliyomtumia bila kufafanua chochote kwenye mkataba Licha ya kuomba kila Mara nimegundua anaonewa kwasababu mbili kuu.

Kwanza Ni mtanzania na Yuko chini ya Tff hivyo Tff wanaamini wanaweza kumkunja wanavyotaka.

Pili Ni Mzanzibari hivyo Tff hawana uchungu nae ata akiporomoka kisoka au wakimchanganya kisaikolojia kwani hatumikii timu ya soka ya bara Bari Zanzibar.

Sizungumzii usahihi au kutokuwa sahihi kwa maamuzi hayo Bali kupatiwa review ili aone vifungu vilivyomfunga akubaliane navyo au avipinge mamlaka ya juu.


Angakuwa Ni msenegali au mmalawi nazani mashilikisho ya nchi zao zingeingilia Kati na Tff kutoa review au hukumu ya haki. Lkn Sasa ndio wenyewe tu wanamfanya wanavyotaka na kuwaacha mashabiki mbumbumbu kumshambulia bila kujjua undani wake.

Ni hatari feitoto kukubaliana na upuuzi huu.

Nashauri Sasa Hilo alipeleke kisiasa. Kwanza ajione yeye Ni Mzanzibari, pili atumie shirikisho la soka Zanzibar kupigania haki zake ili wamtumie kwenye Michuano yao wakiwa timamu.
Kama ftt wanawaweza zff Basi atumie Wanasiasa wa Zanzibar ili swala lake liwe wazi akatafute haki anapopataka.
Aiseee..
 
Huyu jamaa hana tofauti na watangazaji wa kipindi cha michezo cha EFM,wanaojifanya wanafahamu uchambuzi wa mpira na sheria zake kumbe wapo pale kwa ajili ya kusifia simba masaa yote.
 
Baada ya Tff kutoa hukumu yenye maneno matano tu "Feitoto "Ni mchezaji halali wa Yanga kimkataba"

Kwenye press release na hukumu waliyomtumia bila kufafanua chochote kwenye mkataba Licha ya kuomba kila Mara nimegundua anaonewa kwasababu mbili kuu.

Kwanza Ni mtanzania na Yuko chini ya Tff hivyo Tff wanaamini wanaweza kumkunja wanavyotaka.

Pili Ni Mzanzibari hivyo Tff hawana uchungu nae ata akiporomoka kisoka au wakimchanganya kisaikolojia kwani hatumikii timu ya soka ya bara Bari Zanzibar.

Sizungumzii usahihi au kutokuwa sahihi kwa maamuzi hayo Bali kupatiwa review ili aone vifungu vilivyomfunga akubaliane navyo au avipinge mamlaka ya juu.


Angakuwa Ni msenegali au mmalawi nazani mashilikisho ya nchi zao zingeingilia Kati na Tff kutoa review au hukumu ya haki. Lkn Sasa ndio wenyewe tu wanamfanya wanavyotaka na kuwaacha mashabiki mbumbumbu kumshambulia bila kujjua undani wake.

Ni hatari feitoto kukubaliana na upuuzi huu.

Nashauri Sasa Hilo alipeleke kisiasa. Kwanza ajione yeye Ni Mzanzibari, pili atumie shirikisho la soka Zanzibar kupigania haki zake ili wamtumie kwenye Michuano yao wakiwa timamu.
Kama ftt wanawaweza zff Basi atumie Wanasiasa wa Zanzibar ili swala lake liwe wazi akatafute haki anapopataka.
Nasema Kila siku, mnaomdanganya Feisal mtapokea malipo ya usaliti wenu Kwa kipimo kilekile na kusaza. Mmegeuza binadamu wenzenu mitaji Mazuzu nyie.
 
TFF sio shirikisho la mpira, ni shirikisho la wahuni wanaoingiliwa maamuzi yao na wanasiasa kwa manufaa ya Yanga.

Feisal ameonewa, kwa hilo hakuna anayejitambua asijue.
 
Baada ya Tff kutoa hukumu yenye maneno matano tu "Feitoto "Ni mchezaji halali wa Yanga kimkataba"

Kwenye press release na hukumu waliyomtumia bila kufafanua chochote kwenye mkataba Licha ya kuomba kila Mara nimegundua anaonewa kwasababu mbili kuu.

Kwanza Ni mtanzania na Yuko chini ya Tff hivyo Tff wanaamini wanaweza kumkunja wanavyotaka.

Pili Ni Mzanzibari hivyo Tff hawana uchungu nae ata akiporomoka kisoka au wakimchanganya kisaikolojia kwani hatumikii timu ya soka ya bara Bari Zanzibar.

Sizungumzii usahihi au kutokuwa sahihi kwa maamuzi hayo Bali kupatiwa review ili aone vifungu vilivyomfunga akubaliane navyo au avipinge mamlaka ya juu.


Angakuwa Ni msenegali au mmalawi nazani mashilikisho ya nchi zao zingeingilia Kati na Tff kutoa review au hukumu ya haki. Lkn Sasa ndio wenyewe tu wanamfanya wanavyotaka na kuwaacha mashabiki mbumbumbu kumshambulia bila kujjua undani wake.

Ni hatari feitoto kukubaliana na upuuzi huu.

Nashauri Sasa Hilo alipeleke kisiasa. Kwanza ajione yeye Ni Mzanzibari, pili atumie shirikisho la soka Zanzibar kupigania haki zake ili wamtumie kwenye Michuano yao wakiwa timamu.
Kama ftt wanawaweza zff Basi atumie Wanasiasa wa Zanzibar ili swala lake liwe wazi akatafute haki anapopataka.
tatizo wewe ni mbumbumbu kwenye sheria za mpira
 
TFF sio shirikisho la mpira, ni shirikisho la wahuni wanaoingiliwa maamuzi yao na wanasiasa kwa manufaa ya Yanga.

Feisal ameonewa, kwa hilo hakuna anayejitambua asijue.
Mlifikiria yatajirudia tena yale ya Morrison bila shaka! Poleni sana.
 
Ulidhani wewe ni ndo star pale yanga. Huwez kuwa mkubwa kuliko taasisi.

Klabu inaendelea na mambo yake wewe unapiga safakasi forodhani.

Konyo
 
wakati yanga wanapeleka malalamiko Feisal alikuwa Dubai akaitwa haraka na hukumu ikatolewa haraka ila yeye ameomba review wamekaa kimya kisa wamkomoe ndio maana kwenye soka Tanzania kama ililaaniwa leo vinchi kama madagasca na comoro tulivyokuwa tunavionea vimetuacha mbali sisi tunahangaika.
 
Back
Top Bottom