Kama FIFA wataongeza wachezaji kuwa 12 uwanjani, unadhani namba 12 atacheza upande upi?

Kama FIFA wataongeza wachezaji kuwa 12 uwanjani, unadhani namba 12 atacheza upande upi?

issa ramadhani

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2014
Posts
1,319
Reaction score
260
Wanandinga naomba tujadili hili.

Tumeona malanzimeni wamekuwa wakiongezwa toka wawili mpaka wanne, je kama ataongezwa mchezaji wa 12, unahisi atacheza upande upi uwanjani katika timu husika?

Karibuni tafadhali!
 
atakua anachangia huku na huku pia jezi yake itakuwa tofauti halafu chama cha mpira husika kitakuwa kinamtafuta huyo mchezaji
 
Itabidi awe na uwezo wa kuishinda gravity au atakuwa na flying powers ili awe anapita juu ya vichwa vya wachezaji wenzake. Yeye atakuwa maalum kwa 'kutungua minazi' na kuirudisha chini mipira iliyopigwa juu sana.
 
Mbona nafasi ipo...kwa sisi tuliosoma kidumu fagio mechi za mpira wa miguu ilikuwa ni kati ya darasa na darasa.Tulikuwa tunacheza zaidi ya kumi na tano na gemu linanoga.

Ukifuatilia historia utagundua mpira ulikuwa unachezwa na idadi kubwa ya watu.aliyeleta hivi vijisheria ni muingereza.
 
Mi ndoto zangu waongeze idadi ya sub uwanjani toka 3 hata hadi 5 au 7, Ili wachezaji wengi wapate muda wa kucheza.
 
Atakuwa kiungo so far katika wachezaji 11 almost 7 wanacheza kama viungo.Mifumo kama 3-5-2 na 4-3-3 imejaza viungo
 
Back
Top Bottom