Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 9,266
- 7,426
Hamna jipya Mbu Mbu Mbu FC mnatapa tapa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahaha daah nimecheka hadi basiSimba angalieni sana hili jambo, uwanja wa Bunju una majini, chamazi complex kuna jini, wachezaji wametupiwa majini, viongozi wametupiwa majini, makocha wametupiwa majini had sisi mashabiki kasoro mm tu mshirikina namba moja hawaniwezi hata wafanye nn.
Mchezaji Saido Ntibazonkiza ni very asset ktk timu yetu, jamàa anajua sana boli, ana nguvu na sifa zote lkn Ntibazonkiza huyu wa Simba simuoni kabisa kabisa akionyesha ubora wake,
Naamin Ntibazonkiza ametupiwa jini, Simba shughulikieni hili
HahahahahaNilijua lazima utasema hivi nikaficha silaha Moja "mwanajeshi kamili hatangulizi Silaha Kubwa Vitani"[emoji28][emoji28]View attachment 2901562
Majini FC wale walioroga kule sauzi hadi wakapigwa faini kwa ulozi wa waziHahahahahahha....
Ngoja majini FC waje...
Saido huyu? Acha kutania wewe simba fukuzeni saido kabla hali haijakuwa mbaya klabuniSimba angalieni sana hili jambo, uwanja wa Bunju una majini, chamazi complex kuna jini, wachezaji wametupiwa majini, viongozi wametupiwa majini, makocha wametupiwa majini had sisi mashabiki kasoro mm tu mshirikina namba moja hawaniwezi hata wafanye nn.
Mchezaji Saido Ntibazonkiza ni very asset ktk timu yetu, jamàa anajua sana boli, ana nguvu na sifa zote lkn Ntibazonkiza huyu wa Simba simuoni kabisa kabisa akionyesha ubora wake,
Naamin Ntibazonkiza ametupiwa jini, Simba shughulikieni hili
Majini FcMajini FC wale walioroga kule sauzi hadi wakapigwa faini kwa ulozi wa wazi
Sawa Ngada FcMAJINI FC ni jina jipya la YANGA FC.TWENDE NA JINA LA MAJINI FC 2024 BY MAYELE
Hahahaa dah umetisha mkuuNilijua lazima utasema hivi nikaficha silaha Moja "mwanajeshi kamili hatangulizi Silaha Kubwa Vitani"[emoji28][emoji28]View attachment 2901562
Kwahiyo hauoni kama umri umemtupa huyo saido? Hivi elimu munayojisifia nayo ndio hii yakuwaza ujinga?Hilo la Ntibazonkiza na mimi niliwahi kuliwaza kitambo sana maana zile anguka zake kwa kweli siyo za kawaida na ndiyo sababu iliyofanya niache kumuongelea na hata issue za kina Baleke kushindwa kuperform hadi kuondoka nikaamua ku mute.
Binafsi baada ya Mapinduzi Cup nilishaamua siangalii mpira sasa hivi wa bongo. Naweza kupitia highlights tu baasi
Ndio dawa yao
Umri, ubinafsi na vingine vyote vinaweza kuwa vinachangia. Sijatoa conclusion. Saido kacheza vizuri mechi moja tu akiwa na Simba na ni ile mechi yake ya kwanza baada ya hapo ni kuikaba timu yakeKwahiyo hauoni kama umri umemtupa huyo saido? Hivi elimu munayojisifia nayo ndio hii yakuwaza ujinga?
MAJINI FC...Kwa mawazo haya halafu mnataka timu yenu ichukue Caf Champions league?? Rage apewe heshima yake
Huyu mbna kafanana sana na yule mla rambirambi wa taifaMaumivu yakizidi... Muone daktari