Kama Fiston Mayele ametupiwa jini akiwa huko nna uhakika wachezaji wote wa Simba wametupiwa majini

Kama Fiston Mayele ametupiwa jini akiwa huko nna uhakika wachezaji wote wa Simba wametupiwa majini

Kwa mawazo haya halafu mnataka timu yenu ichukue Caf Champions league?? Rage apewe heshima yake
 
Simba angalieni sana hili jambo, uwanja wa Bunju una majini, chamazi complex kuna jini, wachezaji wametupiwa majini, viongozi wametupiwa majini, makocha wametupiwa majini had sisi mashabiki kasoro mm tu mshirikina namba moja hawaniwezi hata wafanye nn.

Mchezaji Saido Ntibazonkiza ni very asset ktk timu yetu, jamàa anajua sana boli, ana nguvu na sifa zote lkn Ntibazonkiza huyu wa Simba simuoni kabisa kabisa akionyesha ubora wake,

Naamin Ntibazonkiza ametupiwa jini, Simba shughulikieni hili
Hahahahahaha daah nimecheka hadi basi

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Ni kweli dini ile.mnacheza na majini ila nayo sio dini tu kuna watu kwao ni uchawi tu . Hadi keroo
 
Simba angalieni sana hili jambo, uwanja wa Bunju una majini, chamazi complex kuna jini, wachezaji wametupiwa majini, viongozi wametupiwa majini, makocha wametupiwa majini had sisi mashabiki kasoro mm tu mshirikina namba moja hawaniwezi hata wafanye nn.

Mchezaji Saido Ntibazonkiza ni very asset ktk timu yetu, jamàa anajua sana boli, ana nguvu na sifa zote lkn Ntibazonkiza huyu wa Simba simuoni kabisa kabisa akionyesha ubora wake,

Naamin Ntibazonkiza ametupiwa jini, Simba shughulikieni hili
Saido huyu? Acha kutania wewe simba fukuzeni saido kabla hali haijakuwa mbaya klabuni
 

Attachments

  • 20240207_114650.jpg
    20240207_114650.jpg
    114.3 KB · Views: 3
Hilo la Ntibazonkiza na mimi niliwahi kuliwaza kitambo sana maana zile anguka zake kwa kweli siyo za kawaida na ndiyo sababu iliyofanya niache kumuongelea na hata issue za kina Baleke kushindwa kuperform hadi kuondoka nikaamua ku mute.

Binafsi baada ya Mapinduzi Cup nilishaamua siangalii mpira sasa hivi wa bongo. Naweza kupitia highlights tu baasi
Kwahiyo hauoni kama umri umemtupa huyo saido? Hivi elimu munayojisifia nayo ndio hii yakuwaza ujinga?
 
Kwahiyo hauoni kama umri umemtupa huyo saido? Hivi elimu munayojisifia nayo ndio hii yakuwaza ujinga?
Umri, ubinafsi na vingine vyote vinaweza kuwa vinachangia. Sijatoa conclusion. Saido kacheza vizuri mechi moja tu akiwa na Simba na ni ile mechi yake ya kwanza baada ya hapo ni kuikaba timu yake
 
Hivi Mayele ameyajuaje Majini kwa lugha ya Kiswahili ?
Ni kwanini ayataje katika sakakata lake ?
 
Kwani huyu Mayele amewakosea nini Yanga hadi wanataka kumuua? Mbona waliagana vizuri wakati anaondoka?
 
Bado hamjasema, Mwisho wa Msimu wakati tumesha kusanya vikombe vyote ndio tutaelewana.
 
Back
Top Bottom