NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Natoa kongoleee kwa wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi pamoja na viongozi waandamizi wa Yanga.
Hakika mnastahili kongoleee kwa hii hatua mliyofika kwa kutanguliza mguu mmoja mbele kuelekea fainali.
Hii ni aibu sana kwa mashabiki wa simba /wachambuzi waliotumia nguvu kubwa kuikejeri Yanga kimataifa nakuandika makala /propaganda mbaya ili ionekane Yanga timu dhaifu na haiwezi kufanya vizuri kimataifa.
NALIA NGWENA naiona Yanga ikifika fainali na uwezo wa kuchukua kombe upo pasi na Shaka.
Goli mbili dhidi ya Marumo ni mtaji mkubwa haswa kwenye hii hatua ya nusu Fainali.
NB: Kama goli mbili ni ndogo geuza pakiti ya chumvi uweke kwenye mboga uone Kama utakula.
Hakika mnastahili kongoleee kwa hii hatua mliyofika kwa kutanguliza mguu mmoja mbele kuelekea fainali.
Hii ni aibu sana kwa mashabiki wa simba /wachambuzi waliotumia nguvu kubwa kuikejeri Yanga kimataifa nakuandika makala /propaganda mbaya ili ionekane Yanga timu dhaifu na haiwezi kufanya vizuri kimataifa.
NALIA NGWENA naiona Yanga ikifika fainali na uwezo wa kuchukua kombe upo pasi na Shaka.
Goli mbili dhidi ya Marumo ni mtaji mkubwa haswa kwenye hii hatua ya nusu Fainali.
NB: Kama goli mbili ni ndogo geuza pakiti ya chumvi uweke kwenye mboga uone Kama utakula.