NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
- Thread starter
-
- #21
Asante sana kwa ushauri wako, na haya maneno ukamshauri mo dewj aache kulia Lia nakuinanga Simba pamoja na mashabiki wake.Acha kulialia kisa uzi wewe TOPOLO
TAFUTA HELA
Akili yako imekutuma kwamba kuna ufanano wa magoli na chumvi?Natoa kongoleee kwa wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi pamoja na viongozi waandamizi wa Yanga.
Hakika mnastahili kongoleee kwa hii hatua mliyofika kwa kutanguliza mguu mmoja mbele kuelekea fainali.
Hii ni aibu sana kwa mashabiki wa simba /wachambuzi waliotumia nguvu kubwa kuikejeri Yanga kimataifa nakuandika makala /propaganda mbaya ili ionekane Yanga timu dhaifu na haiwezi kufanya vizuri kimataifa.
NALIA NGWENA naiona Yanga ikifika fainali na uwezo wa kuchukua kombe upo pasi na Shaka.
Goli mbili dhidi ya Marumo ni mtaji mkubwa haswa kwenye hii hatua ya nusu Fainali.
NB: Kama goli mbili ni ndogo geuza pakiti ya chumvi uweke kwenye mboga uone Kama utakula.
hivi tuulize tu jameni wakati tunachagua kuwa mashabiki wa YANGA nyie wengine mlikua wapi?Nenda mjomba(kolo)
kwan nitesekeHongera kwa kujivua gamba
Nenda kawaulize Azam FcAkili yako imekutuma kwamba kuna ufanano wa magoli na chumvi?
Karibu sana kwenye timu ya vikombe.Mimi kolo nimekubali kuwa mwana YANGA bila kushurutishwa
Saivi marumo ndiyo kombe lao wanalolitegemea.Aisee, makolo wanaruka na kukanyagana
Kwani vina muda basi.....hivi tuulize tu jameni wakati tunachagua kuwa mashabiki wa YANGA nyie wengine mlikua wapi?
Hatimaye tumepata msaidizi wa POPOMA kwenye kuleta mada zisizo na mashikoNatoa kongoleee kwa wachezaji wa Yanga na benchi la ufundi pamoja na viongozi waandamizi wa Yanga.
Hakika mnastahili kongoleee kwa hii hatua mliyofika kwa kutanguliza mguu mmoja mbele kuelekea fainali.
Hii ni aibu sana kwa mashabiki wa simba /wachambuzi waliotumia nguvu kubwa kuikejeri Yanga kimataifa nakuandika makala /propaganda mbaya ili ionekane Yanga timu dhaifu na haiwezi kufanya vizuri kimataifa.
NALIA NGWENA naiona Yanga ikifika fainali na uwezo wa kuchukua kombe upo pasi na Shaka.
Goli mbili dhidi ya Marumo ni mtaji mkubwa haswa kwenye hii hatua ya nusu Fainali.
NB: Kama goli mbili ni ndogo geuza pakiti ya chumvi uweke kwenye mboga uone Kama utakula.
Asante sana Mrs popoma.[emoji41]Hatimaye tumepata msaidizi wa POPOMA kwenye kuleta mada zisizo na mashiko
Unapata wapi ujasiri wa kumuita shemeji yako mrs? Sasa nipo na dada yako chumbani nakuzimia wi-fi ubaki na kajomba kako sebleni mnaangalia katuni pumbavuuuu
Upo dodoma sehemu gani nije [emoji41]Nalia ngwena shwary njoo tusichape hapa ddm [emoji23]
Makolo bhana toka mpigwe na Azam akili zimepotea kabiasa.Unapata wapi ujasiri wa kumuita shemeji yako mrs? Sasa nipo na dada yako chumbani nakuzimia wi-fi ubaki na kajomba kako sebleni mnaangalia katuni pumbavuuuu