Kama hajakwambia shida inayomfanya akuombe pesa usimpe

Kama hajakwambia shida inayomfanya akuombe pesa usimpe

Abby Uladu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
2,194
Reaction score
4,549
Ilikuwa juzi majira ya saa 4 asubuhi nipo home, ikaingia message ya mshkaji mmoja hivi inasema "nina shida nisaidie 300k mpaka kufikia saa 1 night ntakuwa nishakutumia pesa yako"

Kuna pesa nilipanga nimtumie dogo langu yupo chuo huko, nikafikiria niiasema kwakuwa jamaa atarudisha night acha nimtumie hiyo pesa ya dogo.

Huyu mwanangu hatupo close sana ila ni mdau ambaye ananipa madili nikiwa kitaa.

Sikuuliza hata anataka hiyo pesa kwa shida gani nikatuma chap na ya kutolea.

La haula!! Mpaka hivi sasa ninavyoongea hajatuma hata Mia na meseji hajibu na calls apokei ila ukipiga kwa namba ngeni anapokea na whatsapp ukituma texts ajibu Ana blue tick tu na yupo online wala hawazi😪😪.Tangu hiyo juzi.

Leo saa 9 usiku ndio akatuma ujumbe mfupi unasema"Ile pesa uliyoniazima nilinunua mkeka (correct score)kwa 250k kwa mzungu mmoja hivi na 50k nikaplace mkeka,bdaah mkeka umechana na sina hata Mia mbovu ila nipe mwezi mmoja ntakulipa pesa yako"

Daah imeniumiza mnoo hii na dogo nilimuahidi daah wadau tunarudishana sana nyuma.

Kama angeniambia anataka kununua mkeka nisingempa hata 50 mbovu.vUrafiki unakuwa uadui kiutani utani.

UKIOMBWA PESA ULIZA ANASHIDA GANI NDIO UTOE.
Picha ya mkeka sio ya mhusika.

Abby Uladu
Psychologist and journalist
Mbezi beach finest
20240720_140126.jpg
 
Kusema shida sio kigezo,,naweza kukupanga shida nzito lkn nabet

Kuna mwamba sasa ni marehemu,alinivutia waya kwamba yupo safarini hlf kafika kwa wenyeji hakuwakuta hana hata hela kulala guest,,baadae nikaja kujua kumbe ndio zake alikuwa bar anakunywa yale maji yanayobadilisha akili za watu
Hakika huyu jamaa alijifanya anashida nzito tena alisema nikwama ila ujinga niliofanya ni kutoluul8za shida yake.,,,unawezaje kubet tena correct score kwa pesa ya kuqzima?
 
Ilikuwa juzi majira ya saa 4 asubuhi nipo home, ikaingia message ya mshkaji mmoja hivi inasema "nina shida nisaidie 300k mpaka kufikia saa 1 night ntakuwa nishakutumia pesa yako"

Kuna pesa nilipanga nimtumie dogo langu yupo chuo huko, nikafikiria niiasema kwakuwa jamaa atarudisha night acha nimtumie hiyo pesa ya dogo.

Huyu mwanangu hatupo close sana ila ni mdau ambaye ananipa madili nikiwa kitaa.

Sikuuliza hata anataka hiyo pesa kwa shida gani nikatuma chap na ya kutolea.

La haula!! Mpaka hivi sasa ninavyoongea hajatuma hata Mia na meseji hajibu na calls apokei ila ukipiga kwa namba ngeni anapokea na whatsapp ukituma texts ajibu Ana blue tick tu na yupo online wala hawazi😪😪.Tangu hiyo juzi.

Leo saa 9 usiku ndio akatuma ujumbe mfupi unasema"Ile pesa uliyoniazima nilinunua mkeka (correct score)kwa 250k kwa mzungu mmoja hivi na 50k nikaplace mkeka,bdaah mkeka umechana na sina hata Mia mbovu ila nipe mwezi mmoja ntakulipa pesa yako"

Daah imeniumiza mnoo hii na dogo nilimuahidi daah wadau tunarudishana sana nyuma.

Kama angeniambia anataka kununua mkeka nisingempa hata 50 mbovu.vUrafiki unakuwa uadui kiutani utani.

UKIOMBWA PESA ULIZA ANASHIDA GANI NDIO UTOE.
Picha ya mkeka sio ya mhusika.

Abby Uladu
Psychologist and journalist
Mbezi beach finest
View attachment 3048597
Pole sana. Ni forces of nature tu jamaa alishapangiwa tangu Pindi akizaliwa atapata hiyo 300k tarehe flani mwaka flani. Sidhani mwanasaikolojia dogo mwamba Robert Heriel Mtibeli anaweza kuingizwa mkenge hivyo kirahisi. Jinsi anavyoifaham saikolojia.
 
Pole sana. Ni forces of nature tu jamaa alishapangiwa tangu Pindi akizaliwa atapata hiyo 300k tarehe flani mwaka flani. Sidhani mwanasaikolojia dogo mwamba Robert Heriel Mtibeli anaweza kuingizwa mkenge hivyo kirahisi. Jinsi anavyoifaham saikolojia.
Kuna watu tukitaka kusaidia watu huwa atujadili wala kuingia deep kwenye kufikiria ndio maana sometimes wema unazingua
 
Back
Top Bottom