Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio Mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.
Tutashukuru sana.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.
Tutashukuru sana.