ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wapo kwenye vijiwe vya kahawa na kashata kazi kusema AstaghafrahMarekani ame stand na Israel na amepeleka silaha na jeshi.
Huku watu wamening'ininiza kengele ndani ya kanzu wanajifanya Wapalestina