Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Acha ushamba hiyo kawaida sana uraia ni hiari kwa mtu. Hulipwi kua mtanzania, priority ya kwanza ni maiaha yako dini yako familia yako uraia badaye.Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.Tutashukuru sana.
Nchi hii ukiwa na akil timamu huwez kuwa mzalendo hata sku 1Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.Tutashukuru sana.
Siku za Umaarufu wake Kuisha na Kuyaanza Maisha mapya ya Mateso na Kuathirika Kwake Kisaikolojia zinakaribia / zimeshakaribia.Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio Mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.
Tutashukuru sana.
Kwanini asipelekwe nchi aliyozaliwa?Gaza mbali kote huko. Wamdondoshe Mogadishu Tu hapo
Umegeuza stori nzima wallah..!!Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio Mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.
Tutashukuru sana.
Kwani abood inafika hukoGaza mbali kote huko. Wamdondoshe Mogadishu Tu hapo
Mtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio Mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.
Tutashukuru sana.
I stand with Palestine upo Makete si uende Gaza uka stand nao vizuriSawa myahudi mweusi umesikika, kwa taarifa yako hata mimi pia sio shabiki wa taifa stars
Kama wewe ni kidume nenda kwa mayahudi wenzio ukawasaidie kama utarudi salama.
I stand with palestine [emoji1193] mayahudi [emoji777]
TarMtu huna adabu hata kidogo, unasema wewe sio Mtanzania, eti kwa sababu tu umefungiwa kujihusisha na soka, unasema hauko tayari kuishabikia Stars kwa sababu hutakiwi nchini.
Watu kama hawa ni hatari sana kwa usalama wa Taifa, anamtisha nani? Naishauri idara ya uhamiaji imuite huyu mkaidi na athibitishe kama kweli haitaki nchi mara moja safirisheni hadi Gaza Strip ikamtupe huko akabiliane na waisrael ambao wameshatoa masaa 24 watu wasambaratike eneo la Gaza.
Tutashukuru sana.
Marekani ame stand na Israel na amepeleka silaha na jeshi.I stand with Palestine upo Makete si uende Gaza uka stand nao vizuri