Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Kwenye Ile mikoa ambayo msimu wa Masika unaanza mwezi wa 11 hali ni mbaya mingine mpaka sahivi hakuna mvua ni msimu wa mvua. Na hii mikoa ndo mingi inayozalisha chakula kingi.
Tofauti na Ile inayopata mvua mwezi wa tatu mpaka mwezi wa Sita mwanzoni
Kama una hela weka akiba ya hela kwa sababu ya scarcity vyakula vitaenda kupanda, kama una akiba ya chakula weka akiba ya chakula, Kuna uwezekano hali ikawa mbaya sana kuanzia June na kuendelea
Watumishi wa kiroho huu ni mda wa kuombea mvua msisubiri Hali ikiwa mbaya mkasema mlitabiri sababu viashiria vyote vimeshaonekana
Tofauti na Ile inayopata mvua mwezi wa tatu mpaka mwezi wa Sita mwanzoni
Kama una hela weka akiba ya hela kwa sababu ya scarcity vyakula vitaenda kupanda, kama una akiba ya chakula weka akiba ya chakula, Kuna uwezekano hali ikawa mbaya sana kuanzia June na kuendelea
Watumishi wa kiroho huu ni mda wa kuombea mvua msisubiri Hali ikiwa mbaya mkasema mlitabiri sababu viashiria vyote vimeshaonekana