Kama hali ndio hiyi tuwaachie simba yanga na azam

Kama hali ndio hiyi tuwaachie simba yanga na azam

Sidhani kama umefikilia vizuri point ya kuhusu viwanja Mkuu, jiulize kitu kimoja nani anatakiwa afanye vizuri kati ya Yanga anaetumia uwanja mzuri game zake almost nusu za ligi au Dodoma Jiji ambae anatumia almost robo tatu ya mechi zake kucheza kwenye viwanja vibaya?

Mfano ni hivi, chukua mtoto ambae anasoma shule ya kata na anafanya vizuri kitaifa mbele ya wanafunzi wanaosoma feza school, kumbuka huyo mwanafunzi hana mazingira mazuri ya kujisomea,hana walimu wazuri,hana material mazuri,hana marafiki washindani, hya mtoe shule ya kata na mpeleke feza school ambapo huko zile negativity zote huko ni positivity

je we unahisi wapi atafanya vizuri zaidi kati ya mwanzo alipokuwa shule ya kata na alipohamia shule ya Feza? Kwa akili ya kawaida tu team ndogo zilitakiwa zicheze vizuri katika uwanja wa Mkapa au wa Azam kuliko zinavocheza viwanja vibovu vya mikoani na ndomana kwa team zenye falsafa ya kucheza mpira mzuri waga wanatoa upinzani mzuri Sana kwa Simba, Yanga na Azam pindi zinapocheza katika kiwanja kizuri

Hizo team ni kama Geita gold, Biashara, Dodoma Jiji,KMC,Ruvu Shooting, Mbeya City,Namungo na ata Gwambina hizi ni team ambazo zina falsafa ya kucheza mpira mzuri, na waga zinacheza mpira mzuri sana dhidi ya hizi team kubwa tatizo linakuja kwenye ubora wa wachezaji waliopo hizi team ndogo

Team kubwa zina wachezaji wenye quality compared na hizi ndogo na ndio hao ambao wanaamua mechi ata katika viwanja vibovu, kwahiyo viwanja sio issues maana ata team ndogo zinapocheza kwa Mkapa waga wanapata matokeo, kama issue ni viwanja kuna team kama Kagera sugar,mtibwa sugar, pia Azam wana viwanja vizuri sana kuliko ata pitch ya Mkapa ila hawanaga cha home Wala away wao Kila siku vilio tu
Wee ni fala kweli.... mtibwa sugar wana kiwanja kizuri wapi?
 
Wee ni fala kweli.... mtibwa sugar wana kiwanja kizuri wapi?
Aisee ndio hasira za maisha au ni nini Mkuu, Kulikuwa na haja gani ya kuniita Fala? hebu jiheshimu basi, kama hujui unauliza tu na sio kutumia lugha ambazo hazina staha

Mtibwa sugar wana uwanja wao wa Manungu ambao ni mzuri tu kwenye pitch, ila walifungiwa wasiutumie kuanzia msimu uliopita kwakuwa ulikuwa hauna Fence na majukwaa machache yaliyochoka
 
U
Siku zote lengo la kuanzisha haya maligi ni kumtafuta mshindi

Ila inanishangaza huu mpira wetu wa kitanzania tokea haya maligi yaanze sijawahi kuona hizi timu ndogo zikishika nafasi ya pili au ya kwanza

Je ni kusema kwamba hazina uwezo wa kushinda
Je simba na yanga ni timu zenye wachezaji wenye uwezo mkubwa kuliko wote hapa Tanzania
Kama ni hivyo kwanini simba na yanga ndio zipewe kipaumbele kuliko timu zingine

Mfano timu ndogo zinapokuwa zinapambana na moja ya timu za simba na yanga lazima kuwe na figisu lazima lazima ubebajwi fulani utokee

Sasa kuna maana gani ya kuweka haya maligi kwanini tusiwaachie simba na yanga sisi timu zingine tuwe mashabiki nazan itapendeza
Mnachuana wenye kama ilivyo pale bungeni Dodoma saiz kila meza kijani tu mpaka raha

Maana sioni umuhimu wa kuanzisha ligi ikiwa washindi mnafahamika ni simba au yanga

Mnaua vipaji mnaua hamasa mnaua uwajibikaji mnatupotezea gharama bora ifikie kipindi timu zingine zijiweke pembeni mshindane wenye
Mchukue makombe wenyewe nazan itapendeza


Na watu wa media zetu mlivyokosa ufahamu siku ya simba na yanga promo kibao lakini wakicheza wengineo hakuna huu ni unyanyasaji na ni utengano wa wazi alafu kesho mzungu akimbagua mwafrika kelele kibao kwenye hizo media mbona hili hamlipigii kelele

Na nyie mashabiki acheni kushikiwa akili Tanzania ni ya kwetu sote ushabiki wenu usio fikiria ni wakipuuza hongereni mnaojielewa
Ushawahi kumuona Watford akiwa anaongoza ligi EPL
 
Aisee ndio hasira za maisha au ni nini Mkuu, Kulikuwa na haja gani ya kuniita Fala? hebu jiheshimu basi, kama hujui unauliza tu na sio kutumia lugha ambazo hazina staha

Mtibwa sugar wana uwanja wao wa Manungu ambao ni mzuri tu kwenye pitch, ila walifungiwa wasiutumie kuanzia msimu uliopita kwakuwa ulikuwa hauna Fence na majukwaa machache yaliyochoka
Pole mkuu ila Usijali watu kama hawa we mtag mods tu wanafanya kazi yao mtu una akili timamu huwezi mtukana mwenzako matusi kisa mmepishana hoja ni kutojielewa

Sent from my ndenjii 7 using JamiiForums mobile app
 
Mbona hamuongelei Bayern, Madrid, Benfica, PSG
 
Hakuna timu ndogo inayoonewa. Na mashabiki wa aina yenu ndio mlimshauri Malinzi aunde timu ya taifa eti kwa kutafuta vijana wenye vipaji mikoani.

Azam inazidiwa kiumri ,idadi ya mashabiki na akina Mtibwa sugar, Coastal union na pia Azam ni ndogo sana kiumri , idadi ya mashabiki ukilinganisha simba na yanga . Sasa unafikiri Azam ilichukua ubingwa mbele ya simba na yanga kwa sababu ya kubebwa?
 
Ligi ina mambo mengi ukiachia upande wa ubingwa kama maoni yako yalivyo base. Kuna wachezaji wanaendesha maisha kwa kucheza mpira.
It is all about money. Kombe ni extra tu.
Jiuliz3 kwa nini timu ndogo huhakikisha hazishuki daraja? Kwanza hata zawadi ya msgindi wa league huwa ndogo ukilinganisha na gharama za timu za msimu mzima.
 
Siku zote lengo la kuanzisha haya maligi ni kumtafuta mshindi

Ila inanishangaza huu mpira wetu wa kitanzania tokea haya maligi yaanze sijawahi kuona hizi timu ndogo zikishika nafasi ya pili au ya kwanza

Je ni kusema kwamba hazina uwezo wa kushinda
Je simba na yanga ni timu zenye wachezaji wenye uwezo mkubwa kuliko wote hapa Tanzania
Kama ni hivyo kwanini simba na yanga ndio zipewe kipaumbele kuliko timu zingine

Mfano timu ndogo zinapokuwa zinapambana na moja ya timu za simba na yanga lazima kuwe na figisu lazima lazima ubebajwi fulani utokee

Sasa kuna maana gani ya kuweka haya maligi kwanini tusiwaachie simba na yanga sisi timu zingine tuwe mashabiki nazan itapendeza
Mnachuana wenye kama ilivyo pale bungeni Dodoma saiz kila meza kijani tu mpaka raha

Maana sioni umuhimu wa kuanzisha ligi ikiwa washindi mnafahamika ni simba au yanga

Mnaua vipaji mnaua hamasa mnaua uwajibikaji mnatupotezea gharama bora ifikie kipindi timu zingine zijiweke pembeni mshindane wenye
Mchukue makombe wenyewe nazan itapendeza


Na watu wa media zetu mlivyokosa ufahamu siku ya simba na yanga promo kibao lakini wakicheza wengineo hakuna huu ni unyanyasaji na ni utengano wa wazi alafu kesho mzungu akimbagua mwafrika kelele kibao kwenye hizo media mbona hili hamlipigii kelele

Na nyie mashabiki acheni kushikiwa akili Tanzania ni ya kwetu sote ushabiki wenu usio fikiria ni wakipuuza hongereni mnaojielewa
Ongea kidogo kuhusu Bundesliga , Serie A, La Liga Hali ikoje huko. Ila zingatia hakuna ligi isiyo na vigogo kuanzia misuli ya kiuchumi.

Porini Simba huwa anamla swala na itakuwa ivyo daima.
 
Back
Top Bottom