Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
katika maeneo mengi humu nchini hususani mashambani, hali ya hewa ni mwanana na inatia moyo sana kwa wakulima, huenda hii ikawa ni ishara ya matumaini kwa wakulima wa mazao mbalimbali humu nchini..
karibu jumuaya nzima ya Africa inafahamu, Malawi wana uhaba wa chakula, Burindi na Sudani Kusini na maeneo mengine barani Africa wana uhaba wa chakula pia..
Sio kwa ubaya lakini,
Hii ni fursa ya kipekee sana kwa wakulima wa Tanzania, nao kufurahia na kufaidi matunda ya jasho lao..
ni vizuri wahusika wa kisekta kujizuia na kujiweka kando kidogo kwenye kuingilia bei ya mazao bali kusimamia sheria na kutengeneza mazingira mazuri na bora zaidi ya kutotatiza wakulima kunufauka na fursa hii muhimu sana ya soko pana zaidi la mazao chakula barani Africa...
karibu jumuaya nzima ya Africa inafahamu, Malawi wana uhaba wa chakula, Burindi na Sudani Kusini na maeneo mengine barani Africa wana uhaba wa chakula pia..
Sio kwa ubaya lakini,
Hii ni fursa ya kipekee sana kwa wakulima wa Tanzania, nao kufurahia na kufaidi matunda ya jasho lao..
ni vizuri wahusika wa kisekta kujizuia na kujiweka kando kidogo kwenye kuingilia bei ya mazao bali kusimamia sheria na kutengeneza mazingira mazuri na bora zaidi ya kutotatiza wakulima kunufauka na fursa hii muhimu sana ya soko pana zaidi la mazao chakula barani Africa...