Huu ni ushauri tu, unaweza chukua au kupuuza
Kama uko hiv nenda kapate chanjo ya corona haraka
1. Umekaribia kustaafu
2. Una madeni mengi sana unayoshindwa kuyalipa
3. Mwenye uzito uliopitiliza
4. Una tatatizo la kiafya la muda mrefu mf. Kisukari, BP, HIV nk
5. Unafanya kazi hospitalini,Kuwenye vyombo vya usafiri na sehemu yoyote yenye mkusanyiko wa watu,makanisa,shule n.k.
6. Unafanya biashara ya kusafiri safiri hasa kwenda nchi za nje
Kama uko hiv nenda kapate chanjo ya corona haraka
1. Umekaribia kustaafu
2. Una madeni mengi sana unayoshindwa kuyalipa
3. Mwenye uzito uliopitiliza
4. Una tatatizo la kiafya la muda mrefu mf. Kisukari, BP, HIV nk
5. Unafanya kazi hospitalini,Kuwenye vyombo vya usafiri na sehemu yoyote yenye mkusanyiko wa watu,makanisa,shule n.k.
6. Unafanya biashara ya kusafiri safiri hasa kwenda nchi za nje