#COVID19 Kama hali yako ipo hivi, taafadhali kapate chanjo ya COVID-19

#COVID19 Kama hali yako ipo hivi, taafadhali kapate chanjo ya COVID-19

Huu ni ushauri tu, unaweza chukua au kupuuza

Kama uko hiv nenda kapate chanjo ya corona haraka

1. Umekaribia kustaafu

2. Una madeni mengi sana unayoshindwa kuyalipa

3. Mwenye uzito uliopitiliza

4. Una tatatizo la kiafya la muda mrefu mf. Kisukari, BP, HIV nk

5. Unafanya kazi hospitalini,Kuwenye vyombo vya usafiri na sehemu yoyote yenye mkusanyiko wa watu,makanisa,shule n.k.

6. Unafanya biashara ya kusafiri safiri hasa kwenda nchi za nje
Unaposha watu. Kuna watu wengi tu walikuwa na afya nzuri, na umri kwenye miaka 38 waliofariki kwa covid! Kusema ukweli hakuna anayejua akipata covid mwili uta-react namna gani. Na kuna wazee wengi tu wamepona.
 
Unaposha watu. Kuna watu wengi tu walikuwa na afya nzuri, na umri kwenye miaka 38 waliofariki kwa covid! Kusema ukweli hakuna anayejua akipata covid mwili uta-react namna gani. Na kuna wazee wengi tu wamepona.
Kwa hiyo unabidi kuzielewa points zote vizuri.kama hauko namba moja utakuwa na kigezo cha no.2,3,4 au tano.
 
Kwa hiyo unabidi kuzielewa points zote vizuri.kama hauko namba moja utakuwa na kigezo cha no.2,3,4 au tano.
Comment yangu ili-base kwenye vipengele vyote ulivyoelezea. Nikakuambia kuna watu ambao hawako hata kwenye kimoja lakini wamefariki kwa hawa virus.
 
Back
Top Bottom