Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dahkwani ulizaliwa uajiriwe si ujiajiri mbali na hapo usitafute huruma za waajiri wakati ww ni kilaza...
TrackerALISTAIR unyama sana, unapiga aptitude, unapiga online interview(Skype, WhatsApp or any platform), unaenda oral mchongo. Mewahi pita hapo kitambo hiyo.
Uliomba post gani mkuu?
Kwan ina ubaya gani iyo kazi mbona watu wanakula maisha safi tuMwenye utimamu awez ku apply upolisi au kumpeleka mwanae akafanye hyo kazi
Sent using Jamii Forums mobile app
Naitamani kweli dah 🤔Kwan ina ubaya gani iyo kazi mbona watu wanakula maisha safi tu
Ww ukipata nafasi sehemu ikatokea fursa na una ndugu zako utawaacha kisha uchukue ndugu wa wengine mkuu?Kuna wale wapo kigamboni (TAZAMA PIPELINE) hawa wote kuanzia wa getini hadi huko ndani ni “u ndugulization”
Kivyovyote ukiona Kuna nafasi sehemu wa kwanza kumkumbuka ni ndugu, marafiki then unaangalia kina nani waliwahi kukucheki kuonesha uhitaji ndo uende kwa strangers.Ww ukipata nafasi sehemu ikatokea fursa na una ndugu zako utawaacha kisha uchukue ndugu wa wengine mkuu?
Kuna vitu vingine tuache unafiki.
Huyo mwehu tu mbona kazi nzuri kabisa na watu wana maisha mazuri tu kama kufanya kazi ovyo ipo kila sehem kuna walim wanabaka huko wanafunzi kuna ma dr wezi ma hospital huko kila sehem kuna uchafu wakeNaitamani kweli dah 🤔
Ni chuki binafsi tu ndugu.Huyo mwehu tu mbona kazi nzuri kabisa na watu wana maisha mazuri tu kama kufanya kazi ovyo ipo kila sehem kuna walim wanabaka huko wanafunzi kuna ma dr wezi ma hospital huko kila sehem kuna uchafu wake
Itategemea,,,,,,, lakini pia watu hutofautiana kimawazoWw ukipata nafasi sehemu ikatokea fursa na una ndugu zako utawaacha kisha uchukue ndugu wa wengine mkuu?
Kuna vitu vingine tuache unafiki.
Stop that madness......
Kuna watu hamkuumbiwa ajira
Vizuri, walinifanyisha mpaka interview ya video,halafu wakapotea mazima sikupata majibu yoyote mpaka Leo.Si unawapata
Tell them maza faka,you know men go me noAf ukifeli test wana ki message Chao kina KERA sana mammae...hiki hapa nakiweka..,
Thank you very much for taking the time to do our Aptitude Test.
Unfortunately, your results were not the expected ones (65% and upwards) and therefore we won't be able to move forward with your candidacy with Alistair Group, since this was a generic screening test and not based on a specific role.
Please note that we do not share the exact percentage of the test score, because there are too many candidates and it is difficult to share everybody's result.
Regards,
Recruitment Team
Please do not reply to this email. This mailbox is not monitored and you will not receive any response.
Kumbe hawana lolote.....ko nsijisumbue sana....hata majib hawakutoaVizuri, walinifanyisha mpaka interview ya video,halafu wakapotea mazima sikupata majibu yoyote mpaka Leo.