Kama hamtaki kuajiri msituvuruge majobless

Ww ukipata nafasi sehemu ikatokea fursa na una ndugu zako utawaacha kisha uchukue ndugu wa wengine mkuu?

Kuna vitu vingine tuache unafiki.
Kivyovyote ukiona Kuna nafasi sehemu wa kwanza kumkumbuka ni ndugu, marafiki then unaangalia kina nani waliwahi kukucheki kuonesha uhitaji ndo uende kwa strangers.
 
Hata mgodoni Barrick na Geita gold mine (GGM), wew ukiona tangazo la kazi basi ujue mtu ameshapatikana wala usiforce kuomba hautoitwa na hata kama utaitwa ni geresha kuna mtu teari
 
Tell them maza faka,you know men go me no
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…