Kama hatujui kilichomo katika mkataba wa ujenzi wa Bwawa la Umeme huko mto Rufiji, tuna uhakika gani bei ya umeme itakuwa nafuu?

Hicho kipengele cha mkandarasi kujilipa mwenyewe kutokana na mauzo ya umeme wewe na Lissu mmekitoa wapi? Maana mpaka sasa hivi mkandarasi ameshalipwa na serikali certificate saba zaidi ya tril 2. Acheni kupumbaza watu.
Kusafisha site( site clearance) ni trillion 2?
Bas tumepigwaa
 
Sisi tunamuamini Rais Magufuli kila anachochosema Kwasababu ni mcha Mungu
na wala hajatumwa na Wazungu kuja kuharibu Nchi km yule mgombea

Umeme utakuwa sawa na bwerere, tunamuomba Rais Magufuli awe makini na Chadema wasije wakabomoa bwawa

1. Unamuamini wewe na nani?

2. Katiba (sheria) inasemaje kuhusu manunuzi .... tender na biding?

3. Lini bunge lili jadili budget ya huu mradi?
 
Kwahiyo kwa fikra zako ni kwamba Arab contractor wanaweza kutujengea kwa mkopo then tutawalipa baadae, unafualitilia jinsi serikali inavyowalipa kwa uwazi kabisa? Huo mradi ukikaamilika bei ya umeme itakua sh.65 kwa unit, yaani ukiwa na shilling 6500 unapata unit 100.
 

Gas ya mtwara tuliaambiwaje?
 
Kwa mfano,kama mkataba una kipengele kinachosema kiasi fulani cha fedha zitazotokana na mauzo ya umeme zitatumika kumlipa mjenzi/mkandarasi wa mradi, mkataba wa aina hii hauwezi kufanya bei kuwa kubwa kuliko inavyostahili?
Acha kuweweseka pesa ni yetu wenyewe,mkandarasi akimaliza anatuachia mradi wetu
 
Gas ya mtwara tuliaambiwaje?
Gesi ya mtwara ni uwekezaji kutoka kampuni ya kigeni ni tofauti sana na Rufiji hydro plant ambayo tunajenga kwa pesa zetu wenye ni project yetu kama tanzania bila ubia na mtu.
 
Kwa hiyo pesa iatakayo ongezeka tufauti na hiyo iliyotangazwa kisu nado ataitoa au? Au magufuli atatoa mfukoni mwake? Ni bora angesema kuwa hiyo ghalama ya ujenzi ni kubwa na bei halisi ni chini tungeweza kumuamini, Tundu ana shida sana yeye anafikiri ndo mkweli wengine ni waongo?

Kam ni mkweli aisome ilani yao hadhalani kuhusu madini na rasilimali za nchi watu tujue.
 
Magufuli sio mjinga hadi asaini mikataba ya kijinga, kama hamna sera semeni

..unajua historia yake alipokuwa waziri wa ujenzi.

..mikataba ya kuuza nyumba za serikali haikuwa ya kijinga na kifisadi?

..ununuzi wa kivuko mkweche cha mv bagamoyo haukufanyika kifisadi?

..sasa jizi la aina hiyo unafikiri litaacha baada ya kupata mamlaka yenye kinga ya kutokushitakiwa?
 
Hicho kipengele cha mkandarasi kujilipa mwenyewe kutokana na mauzo ya umeme wewe na Lissu mmekitoa wapi? Maana mpaka sasa hivi mkandarasi ameshalipwa na serikali certificate saba zaidi ya tril 2. Acheni kupumbaza watu.

..pesa za kumlipa mkandarasi tumezikopa wapi?

..na tumezikopa kwa MASHARTI gani?

..masharti na muda wa urejeshwaji wa mkopo ndio vita-determine bei ya umeme.
 
Sisi tunamuamini Rais Magufuli kila anachochosema Kwasababu ni mcha Mungu
na wala hajatumwa na Wazungu kuja kuharibu Nchi km yule mgombea

Umeme utakuwa sawa na bwerere, tunamuomba Rais Magufuli awe makini na Chadema wasije wakabomoa bwawa
1.5 tilion ziko wapi
 
Magufuli hawezi kuuza Nchi ni Mzalendo haswa
Usimfananishe na wale waliotumwa na Wazungu

Ukishaona kiongozi anajifanya mzalendo lakini hataki uwazi, jua huyo ni mpigaji kama wapigaji wengine. Utasikia tunajenga mradi fulani kwa pesa za ndani, lakini fuatilia vizuri utakuta deni linapanda na hataki ifahamike hela anakopa wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…