Kama hauna Bilioni 10 haumpati Luis Miquisson

Acha kumtukuza kule kumfunga mwarabu basi gharama yake b10 hivi wewe umeenda shule kuna mchezaji wa simba anayezidi m500 mchezaji wa maana hawezi kubaki simba vilabu vikubwa vingemchukua mara moja
Hivi unaweza kufananisha wachezaji wa ndondo na wa kimataifa yanga mkichukua wachezaji wenu wote wa kigeni hawafikii thamani ya konde boy
 
Mo ataumuuza kwa pikipiki 7
 
yaani yule bwana mdogo nikimuonaga uwanjani nafsi yangu ua inatulia kabisa...
 
Sidhani kama tutakua na Luis msimu ujao...mchizi amekiwasha sana kwenye michuano hii...tangu game na plateau.
Maana kama Walter Bwalya yupo yupo Al ahly...Msuva yupo Wydad...Ulimwengu yupo Tp Mazembe tujiandae kwakweli.
WEWE ULIONA MBALI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ