Kama hauna furaha na Tanzania yetu unaweza usirudi kabisa baki huko huko lawama kila siku baki huko huko

Kama hauna furaha na Tanzania yetu unaweza usirudi kabisa baki huko huko lawama kila siku baki huko huko

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Kila siku ww kulaumu una negative mindset hauoni madaraja yanayojengwa baki huko huko tu usije kutuharibia nchi yetu

Hauoni mabarabara yanayojengwa unalaumu tu kila kitu baki hukohuko
.
Hauoni ufufuaji wa shirika LA ndege baki huko huko

Hauoni faida ya Reli inayojengwa tunakuomba ubaki huko huko

Hauoni athari za uonevu ulivyokuwa umekita mizizi baki huko huko

Hauoni umuhimu wa bwawa LA umeme la MTO Rufiji baki huko huko

Hauoni Terminal 111 baki huko huko
..
.Hauoni faida ya utetezi wa rasilimali za nchi yetu baki hukohuko hatukuhitaji

Watu wanaotuwekea magoti shingoni kutuua kama wanyama unataka Leo hii ndo wakutumie kuharibu nchi yako baki huko huko
 
Nani alikwambia kuna taifa lili[iga hatua kwa kujali maendeleo ya vitu na kupuuza watu wake ambao ndio nguvu kazi ya Taifa?
We ni ng'ombe isiyokuwa na ufahamu sijui umelogwa hivi unajua faida kwa mfano za Reli au unaropoka tu mshenzi chakubanga ww
 
We ni ng'ombe isiyokuwa na ufahamu sijui umelogwa hivi unajua faida kwa mfano za Reli au unaropoka tu mshenzi chakubanga ww
Hata wakolini walijenga reli na Nyerere pia alijenga mabwa ya umeme lakini haikuwa sababu ya kuyapa kisogo mambo mengine.

Tumia kichwa kufikiri sio kuimba mapambio.
 
Atakuja kwa ndege ya samaki hadi mwanza!
Magufuli anatakiwa kutiwa moyo siyo kupingwa na hawa washenzi wachumia tumbo hivi tutakuja kupata Rais kama Magufuli lini acheni ujinga huyu mzee amejitoa kwaa ajili ya Taifa lake nawahakkishieni kumpinga Magufuli kunawachukiza watanzania wwengi sana
 
Hata wakolini walijenga reli na Nyerere alijenga mabwa ya umeme lakini haikuwa sababu ya kuyapa kisogo mambo mengine.

Tumia kichwa kufikiri sio kuimba mapambio.
Acha ushubwada www mkoloni alijenga Barabara IPI unayoijua ww kama si kuropoka nawaapia hasa Chadema haki ya MUNGU mkipata hata diwani mmoja nitaharisha chama chenye nia ovu kabisa na nchi isiyojificha limekuwa lichama LA wahuni kabisa
 
Magufuli anatakiwa kutiwa moyo siyo kupingwa na hawa washenzi wachumia tumbo hivi tutakuja kupata Rais kama Magufuli lini acheni ujinga huyu mzee amejitoa kwaa ajili ya Taifa lake nawahakkishieni kumpinga Magufuli kunawachukiza watanzania wwengi sana
Kumpinga jiwe kunawachukiza nyie ng'ombe wachache mliopata shehemu ya kula kipindi hiki.Hayo mavitu yaliyojengwa yanamsaidia je mtu yuko nanjilinji huko?hata la usiginaji wa katiba hulioni?
 
Acha ushubwada www mkoloni alijenga Barabara IPI unayoijua ww kama si kuropoka nawaapia hasa Chadema haki ya MUNGU mkipata hata diwani mmoja nitaharisha chama chenye nia ovu kabisa na nchi isiyojificha limekuwa lichama LA wahuni kabisa
kwa jinsi unavyoandika,huenda unarusha ngumi kupigana na ukuta!!!
 
Kumpinga jiwe kunawachukiza nyie ng'ombe wachache mliopata shehemu ya kula kipindi hiki.Hayo mavitu yaliyojengwa yanamsaidia je mtu yuko nanjilinji huko?hata la usiginaji wa katiba hulioni?
Usimuite jiwe Rais wa nchi ww mtoto wa kahaba usiyekuwa na maadili unapomdhiihaki kiongozi mkuu wa nchi hasa Magufuli aliyejitoa kwa ajili yaa nchi yake utakuwa zezeta www Mr president anafanya kweli
 
Kila siku ww kulaumu una negative mindset hauoni madaraja yanayojengwa baki huko huko tu usije kutuharibia nchi yetu

Hauoni mabarabara yanayojengwa unalaumu tu kila kitu baki hukohuko
.
Hauoni ufufuaji wa shirika LA ndege baki huko huko

Hauoni faida ya Reli inayojengwa tunakuomba ubaki huko huko

Hauoni athari za uonevu ulivyokuwa umekita mizizi baki huko huko

Hauoni umuhimu wa bwawa LA umeme la MTO Rufiji baki huko huko

Hauoni Terminal 111 baki huko huko
..
.Hauoni faida ya utetezi wa rasilimali za nchi yetu baki hukohuko hatukuhitaji

Watu wanaotuwekea magoti shingoni kutuua kama wanyama unataka Leo hii ndo wakutumie kuharibu nchi yako baki huko huko
The man is alive to fight evility and he has the sympathy of the citizens.
 
Kila siku ww kulaumu una negative mindset hauoni madaraja yanayojengwa baki huko huko tu usije kutuharibia nchi yetu

Hauoni mabarabara yanayojengwa unalaumu tu kila kitu baki hukohuko
.
Hauoni ufufuaji wa shirika LA ndege baki huko huko

Hauoni faida ya Reli inayojengwa tunakuomba ubaki huko huko

Hauoni athari za uonevu ulivyokuwa umekita mizizi baki huko huko

Hauoni umuhimu wa bwawa LA umeme la MTO Rufiji baki huko huko

Hauoni Terminal 111 baki huko huko
..
.Hauoni faida ya utetezi wa rasilimali za nchi yetu baki hukohuko hatukuhitaji

Watu wanaotuwekea magoti shingoni kutuua kama wanyama unataka Leo hii ndo wakutumie kuharibu nchi yako baki huko huko
We pimbi umepaniki?
 
Magufuli anatakiwa kutiwa moyo siyo kupingwa na hawa washenzi wachumia tumbo hivi tutakuja kupata Rais kama Magufuli lini acheni ujinga huyu mzee amejitoa kwaa ajili ya Taifa lake nawahakkishieni kumpinga Magufuli kunawachukiza watanzania wwengi sana
Dogo kunywa maji naona unahasira,
Tunataka raisi mwenye maono, mpenda demokrasia, mwenye upendo na wananchi wake, msomi,
hhuyu aliyepo hatoshi
 
We ni ng'ombe isiyokuwa na ufahamu sijui umelogwa hivi unajua faida kwa mfano za Reli au unaropoka tu mshenzi chakubanga ww
Pompeo alisema Bashite ananyima watu haki ya kuishi. Najiuliza tu Bashite ananyima watu kwa faida ya nani? Au ni nani alikuwa anamtuma?
 
Dogo kunywa maji naona unahasira,
Tunataka raisi mwenye maono, mpenda demokrasia, mwenye upendo na wananchi wake, msomi,
hhuyu aliyepo hatoshi
Pompeo alisema "Bashite ananyima watu haki ya kuishi" Sasa sijui Nani alikuwa anamtuma afanye hivyo
 
Nani alikwambia kuna Taifa lilipiga hatua kwa kujali maendeleo ya vitu na kupuuza watu wake ambao ndio nguvu kazi ya Taifa?
Sisi watu ndo tumependa hivyo, wewe nani wa kutusemea? anayoyafanya ndo tulomtuma afanye na kuthibitisha hilo October tunampa ushindi wa zaidi ya 95%, huwezi kufunga mkanda hama nchi.
 
Back
Top Bottom