CCM NA JK WAZIVUNJA KATIBA ZA NCHI NA CHAMA , RAIA WA MAREKANI WAPIGA KURA DODOMA. MAJINA HAYA HAPA
RAIA WA MAREKANI NA UINGEREZA WASHIRIKI MKUTANO WA CCM DODOMA, WATUMIWA NAULI KUSHIRIKI MKUTANO NA KUPIGA KURA. ZILITUMWA TICKETS 40 KWA MKOA WA DIASPORA, UINGEREZA, CHINA, INDIA MAREKANI N.K DMV TICKETS 8.
CCM na JK wazivunja katiba za nchi na chama. Mwenyekiti wa CCM Jakaya Mrisho Kikwete na wanachama wa CCM wamewaruhusu RAIA wa MAREKANI na Uingereza kupiga kura DODOMA. CCM na uongozi wake vimekuwa vikilifumbia macho swala la uraia pacha, hapo hapo inawatumia raia wa nchi nyingine pesa za walipa kodi kwa ajili ya nauli ili wapate political points.
Kanuni za katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania na ya CCM haziruhusu mtu mwenye uraia ambao sio wa Tanzania kushiriki shughuri za kisiasa nchini (HATUNA DUAL CITIZENSHIP). Hawa ni raia wa Marekani na Uingereza ambao wameshiriki uchaguzi DODOMA
-Phanuel Peter Ligate (USA citizen)
-Faraja Isingo (Raia wa kuzaliwa Marekani, alizaliwa Oklahoma)
-Maftah ambaye ni mwenyekiti wa New york CCM (USA citizen)
-Bashiri (Huyu ni Raia wa Uingereza na Burundi)
Kama hawa watu wanakanusha hili, Wathibitishe vinginevyo.Au waonyeshe HATI zao za kusafilia na ziwe na STAMP ya entry na exit Marekani na Tanzania
Hawa ni Green card holders sheria haiwabani
-Benjamini Mwaipaja
-Elizabeth Luhanga
-Loveness Mamuya (Huyu mara ya mwisho alikua anafanya process za uraia wa Marekani hatuna uhakika kafikia wapi)
TUNAWASHANGAA CMM NA JK WANAVYO ENDESHA MAMBO YAO YA KISIASA KWA KUWA FUMBA MACHO WANACHAMA WAO NA WANACHI NA KUTUMIA PESA ZA WALIPA KODI KUWALIPIA NAULI RAIA WA NCHI ZA WATU.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
View attachment 71205View attachment 71205
WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO NI MAFTAA, FARAJA, LIGATE, LOVENESS, ELIZA NA BENJAMIN
RAIA WA MAREKANI NA UINGEREZA WASHIRIKI MKUTANO WA CCM DODOMA, WATUMIWA NAULI KUSHIRIKI MKUTANO NA KUPIGA KURA. ZILITUMWA TICKETS 40 KWA MKOA WA DIASPORA, UINGEREZA, CHINA, INDIA MAREKANI N.K DMV TICKETS 8.
CCM na JK wazivunja katiba za nchi na chama. Mwenyekiti wa CCM Jakaya Mrisho Kikwete na wanachama wa CCM wamewaruhusu RAIA wa MAREKANI na Uingereza kupiga kura DODOMA. CCM na uongozi wake vimekuwa vikilifumbia macho swala la uraia pacha, hapo hapo inawatumia raia wa nchi nyingine pesa za walipa kodi kwa ajili ya nauli ili wapate political points.
Kanuni za katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania na ya CCM haziruhusu mtu mwenye uraia ambao sio wa Tanzania kushiriki shughuri za kisiasa nchini (HATUNA DUAL CITIZENSHIP). Hawa ni raia wa Marekani na Uingereza ambao wameshiriki uchaguzi DODOMA
-Phanuel Peter Ligate (USA citizen)
-Faraja Isingo (Raia wa kuzaliwa Marekani, alizaliwa Oklahoma)
-Maftah ambaye ni mwenyekiti wa New york CCM (USA citizen)
-Bashiri (Huyu ni Raia wa Uingereza na Burundi)
Kama hawa watu wanakanusha hili, Wathibitishe vinginevyo.Au waonyeshe HATI zao za kusafilia na ziwe na STAMP ya entry na exit Marekani na Tanzania
Hawa ni Green card holders sheria haiwabani
-Benjamini Mwaipaja
-Elizabeth Luhanga
-Loveness Mamuya (Huyu mara ya mwisho alikua anafanya process za uraia wa Marekani hatuna uhakika kafikia wapi)
TUNAWASHANGAA CMM NA JK WANAVYO ENDESHA MAMBO YAO YA KISIASA KWA KUWA FUMBA MACHO WANACHAMA WAO NA WANACHI NA KUTUMIA PESA ZA WALIPA KODI KUWALIPIA NAULI RAIA WA NCHI ZA WATU.
MUNGU IBARIKI TANZANIA
View attachment 71205View attachment 71205
WA KWANZA KUTOKA KUSHOTO NI MAFTAA, FARAJA, LIGATE, LOVENESS, ELIZA NA BENJAMIN