schneider
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 770
- 641
Kuhusu wao kuondoa watu kwa maradhi na hizo sumu hawawezi kamwe kwani hakuna neno katika vitabu vya dini zote kuwa katika mwisho wa dunia kutakuwa na watu wachache
Nadhani hiyo vitabu vyingeeleza kuwa ujio wa Yehova utakuta dunia ina watu wachache na ingeelezwa sababu ya kuwakuta watu wachache kufaham haya angalia jiwe linalo nolewa kisu na linalo sunguliwa miguu lipi limeuka umbile lake.
Nadhani hiyo vitabu vyingeeleza kuwa ujio wa Yehova utakuta dunia ina watu wachache na ingeelezwa sababu ya kuwakuta watu wachache kufaham haya angalia jiwe linalo nolewa kisu na linalo sunguliwa miguu lipi limeuka umbile lake.