Kama hayati Magufuli alimtuma Ole Sabaya kudhibiti wahujumu uchumi, Je huu ulikuwa ujambazi au matumizi mabaya ya ofisi?

Kama hayati Magufuli alimtuma Ole Sabaya kudhibiti wahujumu uchumi, Je huu ulikuwa ujambazi au matumizi mabaya ya ofisi?

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
6,404
Reaction score
6,969
Najua kuna wanaCHADEMA kindakindaki ambao kwao mwamba ni kama masihi wao wa kisiasa hapa Bongo. Tokea anigi'nie nyavuni wamekuwa wapole sana. Maana walidhani kuwa Sabaya kwenda lupando basi furaha yao ndio imejaa pomoni.

Kwa sasa sakata la Sabaya kupandishwa kizimbani hawataki kusikia tena. Maana wametambua kumbe haya mambo hayataki hasira.

Turudi kwenye hoja kuu, key witness kwenye kesi ya Sabaya anadai kuwa Sabaya alimjibu kuwa ametumwa na hayati Magufuli ili kudhibiti wahujumu uchumi. Shahidi huyu anamaliza kusema kuwa baada ya kujibiwa alipata kigipo kisha kuporwa laki tatu na ushee.

Kama kweli Sabaya alitumwa na Hayati JPM kwenda kudhibiti wahujumu uchumi, je kwa hii scenario hapa kuna ujambazi au kuna matumizi mabaya ya ofisi?

My take: Jamhuri kwenda mahakamani bila kujipanga na kuandaa mashitaka kama haya ni fedheha kwa taifa letu.
 
Najua kuna wanaCdm kindakindaki ambao kwao mwamba ni kama masihi wao wa kisiasa hapa Bongo. Tokea anigi'nie nyavuni wamekuwa wapole sana. Maana walidhani kuwa Sabaya kwenda lupando basi furaha yao ndio imejaa pomoni...
Bro! Unahaha sana na kumsafisha Sabaya. Hivi matumizi ya silaha kwa namna alivyofanya (Kwa mujibu wa mashahidi), ofisi unaihusishaje!?
 
Tulia Mahakama ifanye kazi yake,na aliyetoa USHAHIDI huo ni Kada na pia Diwani wa CCM, kubwa ninaloweza kukuhakikishia ni kwamba General Lengai Ole SABAYA alikuwa ni JAMBAZI kama MAJAMBAZI wengine tu
Armed robbery kwa mujibu wa sheria inafanyika vipi?
 
Bro.!! Unahaha sana na kumsafisha Sabaya... Hivi matumizi ya silaha kwa namna alivyofanya (Kwa mujibu wa mashahidi), ofisi unaihusishaje!?
Usipende kujibu suala kama hujalielewa.
 
Najua kuna wanaCdm kindakindaki ambao kwao mwamba ni kama masihi wao wa kisiasa hapa Bongo. Tokea anigi'nie nyavuni wamekuwa wapole sana. Maana walidhani kuwa Sabaya kwenda lupando basi furaha yao ndio imejaa pomoni...
Kila siku mnauliza utopolo
 
Armed robbery kwa mujibu wa sheria inafanyika vipi?
Unaponyang'anya watu huku ukiwa na silaha.

Kwa kifupi, serikali haiko juu ya sheria. Hata askari wakiua, lazima iwe "lawful killing", iko ndani ya sheria na kanuni.

Sasa hata kama aliambiwa akafanye hayo matendo, haifuti uhalifu wake. Hata kama kuna ushahidi wa kupewa Maelekezo bado alitakiwa afuate "lawful orders" tu, sio kila amri. Hili ni la kwake, apambane.
 
Unaponyang'anya watu huku ukiwa na silaha.

Kwa kifupi, serikali haiko juu ya sheria. Hata askari wakiua, lazima iwe "lawful killing", iko ndani ya sheria na kanuni.

Sasa hata kama aliambiwa akafanye hayo matendo, haifuti uhalifu wake. Hata kama kuna ushahidi wa kupewa Maelekezo bado alitakiwa afuate "lawful orders" tu, sio kila amri. Hili ni la kwake, apambane.
Kama ilivyo kwa Gaidi Mwandamizi Mbowe
 
Najua kuna wanaCdm kindakindaki ambao kwao mwamba ni kama masihi wao wa kisiasa hapa Bongo. Tokea anigi'nie nyavuni wamekuwa wapole sana. Maana walidhani kuwa Sabaya kwenda lupando basi furaha yao ndio imejaa pomoni.

Kwa sasa sakata la Sabaya kupandishwa kizimbani hawataki kusikia tena. Maana wametambua kumbe haya mambo hayataki hasira.

Turudi kwenye hoja kuu, key witness kwenye kesi ya Sabaya anadai kuwa Sabaya alimjibu kuwa ametumwa na hayati Magufuli ili kudhibiti wahujumu uchumi. Shahidi huyu anamaliza kusema kuwa baada ya kujibiwa alipata kigipo kisha kuporwa laki tatu na ushee.

Kama kweli Sabaya alitumwa na Hayati JPM kwenda kudhibiti wahujumu uchumi, je kwa hii scenario hapa kuna ujambazi au kuna matumizi mabaya ya ofisi?

My take: Jamhuri kwenda mahakamani bila kujipanga na kuandaa mashitaka kama haya ni fedheha kwa taifa letu.
Ila wewe sijui hata nikufananishe na kitu gani maana hata mavi yafaa kwa mazao.
 
mpaka sasa shahidi wa 4 ameshatoa ushahidi wake lkn bado sijaona Ujambazi/unyang'anyi alio ufanya Sabaya.
jambazi au mnyanganyi anawezaje kuwapeleka watu anao daiwa kuwapora Polisi?!
Mnyang'anyi anachukua machine ya kutolea risiti? ya nn?
n.k
ngoja tuendelee kusikiliza.
lln hapo hakuna cha unyang'anyi wala ujambazi.
 
Unaponyang'anya watu huku ukiwa na silaha.

Kwa kifupi, serikali haiko juu ya sheria. Hata askari wakiua, lazima iwe "lawful killing", iko ndani ya sheria na kanuni.

Sasa hata kama aliambiwa akafanye hayo matendo, haifuti uhalifu wake. Hata kama kuna ushahidi wa kupewa Maelekezo bado alitakiwa afuate "lawful orders" tu, sio kila amri. Hili ni la kwake, apambane.
Inaonyesha angeambiwa akate kichwa chake, ANGEKATA HUYU BWANA
 
Najua kuna wanaCdm kindakindaki ambao kwao mwamba ni kama masihi wao wa kisiasa hapa Bongo. Tokea anigi'nie nyavuni wamekuwa wapole sana. Maana walidhani kuwa Sabaya kwenda lupando basi furaha yao ndio imejaa pomoni.

Kwa sasa sakata la Sabaya kupandishwa kizimbani hawataki kusikia tena. Maana wametambua kumbe haya mambo hayataki hasira.

Turudi kwenye hoja kuu, key witness kwenye kesi ya Sabaya anadai kuwa Sabaya alimjibu kuwa ametumwa na hayati Magufuli ili kudhibiti wahujumu uchumi. Shahidi huyu anamaliza kusema kuwa baada ya kujibiwa alipata kigipo kisha kuporwa laki tatu na ushee.

Kama kweli Sabaya alitumwa na Hayati JPM kwenda kudhibiti wahujumu uchumi, je kwa hii scenario hapa kuna ujambazi au kuna matumizi mabaya ya ofisi?

My take: Jamhuri kwenda mahakamani bila kujipanga na kuandaa mashitaka kama haya ni fedheha kwa taifa letu.
Alimtuma kama nani? Yeye alikuwa ni mwenyekiti wa usalama huko hai, Arusha alikwenda kufanya nini kama sio ujambazi? Acheni kumsingizia marehemu maana huko alipo hapumziki kabisa
 
Utateseka sana na jina Magufuli. Pole Mangi
 
Najua kuna wanaCdm kindakindaki ambao kwao mwamba ni kama masihi wao wa kisiasa hapa Bongo. Tokea anigi'nie nyavuni wamekuwa wapole sana. Maana walidhani kuwa Sabaya kwenda lupando basi furaha yao ndio imejaa pomoni.

Kwa sasa sakata la Sabaya kupandishwa kizimbani hawataki kusikia tena. Maana wametambua kumbe haya mambo hayataki hasira.

Turudi kwenye hoja kuu, key witness kwenye kesi ya Sabaya anadai kuwa Sabaya alimjibu kuwa ametumwa na hayati Magufuli ili kudhibiti wahujumu uchumi. Shahidi huyu anamaliza kusema kuwa baada ya kujibiwa alipata kigipo kisha kuporwa laki tatu na ushee.

Kama kweli Sabaya alitumwa na Hayati JPM kwenda kudhibiti wahujumu uchumi, je kwa hii scenario hapa kuna ujambazi au kuna matumizi mabaya ya ofisi?

My take: Jamhuri kwenda mahakamani bila kujipanga na kuandaa mashitaka kama haya ni fedheha kwa taifa letu.
Hata kule arusha utagundua mashahidi wa kipuuzi maana mwenye duka ni mwarabu fisadi. Wao wanamwamini bila kujua sabaya alikua kikazi na kisheria dukani kwa huyo mwarabu. Aibu ni kwa dola kufungua kesi dhidi ya kada mahiri wa chama tawala wakati chama bado kipo madarakani.
 
Back
Top Bottom