mpaka sasa shahidi wa 4 ameshatoa ushahidi wake lkn bado sijaona Ujambazi/unyang'anyi alio ufanya Sabaya.
jambazi au mnyanganyi anawezaje kuwapeleka watu anao daiwa kuwapora Polisi?!
Mnyang'anyi anachukua machine ya kutolea risiti? ya nn?
n.k
ngoja tuendelee kusikiliza.
lln hapo hakuna cha unyang'anyi wala ujambazi.