Tetesi: Kama Heche na Lissu wataondoka CHADEMA sioni Mnyika, Suzan Kiwanga au Lemma wakisalia huko. Ni suala la muda tu

Tetesi: Kama Heche na Lissu wataondoka CHADEMA sioni Mnyika, Suzan Kiwanga au Lemma wakisalia huko. Ni suala la muda tu

YAY

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2024
Posts
362
Reaction score
381
Kuna kila dalili za Mbowe kuutaka uenyekiti wa CHADEMA kwa mara nyingine ya nne mfululizo.

Kuna kila dalili za hawa vijana kukatishwa tamaa na kaliba hii ya Bwana Mbowe kung'ang'ania madaraka hata kama hawasemi,

Survivo ya CHADEMA kwa Sasa ni Mbowe kupisha kiti whether anataka au hataki, ameahidiwa au ameahidi ni lazima apishe sura mpya itakayoweza kuaminika kirahisi kwa Umma.

Hata Lipumba alishauriwa mara kadhaa kukiachia chama kikiwa Walau ICU lakini aligoma mpaka leo kimefika Kaburini ndio ameamua kukiachia baada ya kuona hata wale waliokuwa wanamwambia usiachie chama kitakufa kuacha hata kupokea simu zake baada ya kuhakikisha ni kweli CUF imekwisha kabisa kabisa.

Kila chenye mwanzo hakika kina mwisho Mbowe wa CHADEMA Leo hana mvuto hata kuvuta watoto wa shule achilia mbali wapigakura.

Siku Mbowe anakuwa Mwenyekiti kwa mara ya tano ndio siku ambayo Heche, Lissu, Lemma, Mnyika , Suzan Chiwanga wataiaga CHADEMA.

Soma Pia: Huenda chama kipya cha Lissu kikasheheni watu waadilifu kama Dkt. Slaa, Prof. Safari, Mnyika, Heche, Wenje na wale wote waliotoka CHADEMA kwa figisu


Hii inaitwa Win Win,
 
Kuna kila dalili za Mbowe kuutaka uenyekiti wa CHADEMA kwa mara nyingine ya nne mfululizo.

Kuna kila dalili za hawa vijana kukatishwa tamaa na kaliba hii ya Bwana Mbowe kung'ang'ania madaraka hata kama hawasemi,

Survivo ya CHADEMA kwa Sasa ni Mbowe kupisha kiti whether anataka au hataki, ameahidiwa au ameahidi ni lazima apishe sura mpya itakayoweza kuaminika kirahisi kwa Umma.

Hata Lipumba alishauriwa mara kadhaa kukiachia chama kikiwa Walau ICU lakini aligoma mpaka leo kimefika Kaburini ndio ameamua kukiachia baada ya kuona hata wale waliokuwa wanamwambia usiachie chama kitakufa kuacha hata kupokea simu zake baada ya kuhakikisha ni kweli CUF imekwisha kabisa kabisa.

Kila chenye mwanzo hakika kina mwisho Mbowe wa CHADEMA Leo hana mvuto hata kuvuta watoto wa shule achilia mbali wapigakura.

Siku Mbowe anakuwa Mwenyekiti kwa mara ya tano ndio siku ambayo Heche, Lissu, Lemma, Mnyika , Suzan Chiwanga wataiaga CHADEMA.

Hii inaitwa Win Win,
Ramli ramli ramli
 
Kuna kila dalili za Mbowe kuutaka uenyekiti wa CHADEMA kwa mara nyingine ya nne mfululizo.

Kuna kila dalili za hawa vijana kukatishwa tamaa na kaliba hii ya Bwana Mbowe kung'ang'ania madaraka hata kama hawasemi,

Survivo ya CHADEMA kwa Sasa ni Mbowe kupisha kiti whether anataka au hataki, ameahidiwa au ameahidi ni lazima apishe sura mpya itakayoweza kuaminika kirahisi kwa Umma.

Hata Lipumba alishauriwa mara kadhaa kukiachia chama kikiwa Walau ICU lakini aligoma mpaka leo kimefika Kaburini ndio ameamua kukiachia baada ya kuona hata wale waliokuwa wanamwambia usiachie chama kitakufa kuacha hata kupokea simu zake baada ya kuhakikisha ni kweli CUF imekwisha kabisa kabisa.

Kila chenye mwanzo hakika kina mwisho Mbowe wa CHADEMA Leo hana mvuto hata kuvuta watoto wa shule achilia mbali wapigakura.

Siku Mbowe anakuwa Mwenyekiti kwa mara ya tano ndio siku ambayo Heche, Lissu, Lemma, Mnyika , Suzan Chiwanga wataiaga CHADEMA.

Hii inaitwa Win Win,
andika chochote kuhusu John cheyo na hashimu rungwe spunda ilin uweze ku balance story yako siyo kila siku mbowe mbowe mbowe. hivi mbowe ndiyo mwenyekiti pekee wa chama cha siasa hapa nchini?
 
Kuna kila dalili za Mbowe kuutaka uenyekiti wa CHADEMA kwa mara nyingine ya nne mfululizo.

Kuna kila dalili za hawa vijana kukatishwa tamaa na kaliba hii ya Bwana Mbowe kung'ang'ania madaraka hata kama hawasemi,

Survivo ya CHADEMA kwa Sasa ni Mbowe kupisha kiti whether anataka au hataki, ameahidiwa au ameahidi ni lazima apishe sura mpya itakayoweza kuaminika kirahisi kwa Umma.

Hata Lipumba alishauriwa mara kadhaa kukiachia chama kikiwa Walau ICU lakini aligoma mpaka leo kimefika Kaburini ndio ameamua kukiachia baada ya kuona hata wale waliokuwa wanamwambia usiachie chama kitakufa kuacha hata kupokea simu zake baada ya kuhakikisha ni kweli CUF imekwisha kabisa kabisa.

Kila chenye mwanzo hakika kina mwisho Mbowe wa CHADEMA Leo hana mvuto hata kuvuta watoto wa shule achilia mbali wapigakura.

Siku Mbowe anakuwa Mwenyekiti kwa mara ya tano ndio siku ambayo Heche, Lissu, Lemma, Mnyika , Suzan Chiwanga wataiaga CHADEMA.

Hii inaitwa Win Win,
Juhudi hii uliyotumia kuandika ungeitumia kwa mumeo katika harakati za kuijaza dunia ungefanikiwa mapacha!
Mambo ya Chadema waachie Chadema wenyewe. Leo ni imara zaidi kuliko jana
 
andika chochote kuhusu John cheyo na hashimu rungwe spunda ilin uweze ku balance story yako siyo kila siku mbowe mbowe mbowe. hivi mbowe ndiyo mwenyekiti pekee wa chama cha siasa hapa nchini?
Chama cha domokrasia na maendeleo

Hao uliowataja ndiyo level zenu
 
Kuna kila dalili za Mbowe kuutaka uenyekiti wa CHADEMA kwa mara nyingine ya nne mfululizo.

Kuna kila dalili za hawa vijana kukatishwa tamaa na kaliba hii ya Bwana Mbowe kung'ang'ania madaraka hata kama hawasemi,

Survivo ya CHADEMA kwa Sasa ni Mbowe kupisha kiti whether anataka au hataki, ameahidiwa au ameahidi ni lazima apishe sura mpya itakayoweza kuaminika kirahisi kwa Umma.

Hata Lipumba alishauriwa mara kadhaa kukiachia chama kikiwa Walau ICU lakini aligoma mpaka leo kimefika Kaburini ndio ameamua kukiachia baada ya kuona hata wale waliokuwa wanamwambia usiachie chama kitakufa kuacha hata kupokea simu zake baada ya kuhakikisha ni kweli CUF imekwisha kabisa kabisa.

Kila chenye mwanzo hakika kina mwisho Mbowe wa CHADEMA Leo hana mvuto hata kuvuta watoto wa shule achilia mbali wapigakura.

Siku Mbowe anakuwa Mwenyekiti kwa mara ya tano ndio siku ambayo Heche, Lissu, Lemma, Mnyika , Suzan Chiwanga wataiaga CHADEMA.

Hii inaitwa Win Win,
hizi songombingo za kabokamchizi zitaanzia hivi karibuni tu kwenye huu uchaguzi wa kanda ya pwani kuna jamaa kaisha apa kwamba iwe jua au mvua,

Lazima yeye ndio atangazwe mshindi na awe mwenyekiti wa kanda ya Pwani, anadai amekichangia sana hiki chama...

anasema kinyume na hapo mbona vyama ya siasa viko vingi tu 🤣
 
andika chochote kuhusu John cheyo na hashimu rungwe spunda ilin uweze ku balance story yako siyo kila siku mbowe mbowe mbowe. hivi mbowe ndiyo mwenyekiti pekee wa chama cha siasa hapa nchini?
Mbowe ni kiongozi wa chama kikuu Cha Upinzani!! Huwezi linganisha na Vyama vingine.
So ni sahihi Mbowe na CHADEMA kuangaziwa Kwa ukubwa wake.

Kubali mabadiliko Bwashee
 
Kuna kila dalili za Mbowe kuutaka uenyekiti wa CHADEMA kwa mara nyingine ya nne mfululizo.

Kuna kila dalili za hawa vijana kukatishwa tamaa na kaliba hii ya Bwana Mbowe kung'ang'ania madaraka hata kama hawasemi,

Survivo ya CHADEMA kwa Sasa ni Mbowe kupisha kiti whether anataka au hataki, ameahidiwa au ameahidi ni lazima apishe sura mpya itakayoweza kuaminika kirahisi kwa Umma.

Hata Lipumba alishauriwa mara kadhaa kukiachia chama kikiwa Walau ICU lakini aligoma mpaka leo kimefika Kaburini ndio ameamua kukiachia baada ya kuona hata wale waliokuwa wanamwambia usiachie chama kitakufa kuacha hata kupokea simu zake baada ya kuhakikisha ni kweli CUF imekwisha kabisa kabisa.

Kila chenye mwanzo hakika kina mwisho Mbowe wa CHADEMA Leo hana mvuto hata kuvuta watoto wa shule achilia mbali wapigakura.

Siku Mbowe anakuwa Mwenyekiti kwa mara ya tano ndio siku ambayo Heche, Lissu, Lemma, Mnyika , Suzan Chiwanga wataiaga CHADEMA.

Hii inaitwa Win Win,

FLAG.png

NAOMBA MAJIBU:-
1. Mbowe anachapisha fomu moja ya kugombea?
2. Mbowe anaunda kamati ya kusimamia uchaguzi?
3. Mbowe anakuja na wapiga kura wake?
4. Mbowe anahesabu kura mwenyewe?
5. Sisi wana CCM kama tunaona MBOWE ataharibu chama, kwanini tusimuache na kumuunga mkono ili aendele kuharibu?
6. Chama tawala wamesema wanachapisha fomu moja, mbona hamtoi milio kupinga ?
 
Huwa nashangaa sana vijana ambao hawajatumiza ndoto kushabikia CHADEMA.. hivi umewahi jiuliza kwann Uchaguzi mkuu ukikaribia wanaanza kuleteana fujo za kutengeneza.
 
View attachment 3087946
NAOMBA MAJIBU:-
1. Mbowe anachapisha fomu moja ya kugombea?
2. Mbowe anaunda kamati ya kusimamia uchaguzi?
3. Mbowe anakuja na wapiga kura wake?
4. Mbowe anahesabu kura mwenyewe?
5. Sisi wana CCM kama tunaona MBOWE ataharibu chama, kwanini tusimuache na kumuunga mkono ili aendele kuharibu?
6. Chama tawala wamesema wanachapisha fomu moja, mbona hamtoi milio kupinga ?
Huu wako ni upumbafu
 
Back
Top Bottom