Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Hana uwezo wa kufanya uchambuzi wenye mantiki juu ya mada husika kwa sababu anaonekana hana msingi mzuri wa sayansi (achilia mbali fizikia na jiografia).Mwenzako anakwambia kuna mfuniko😂😂😂,
Hii argument haiendi kokote, huu muda kama una buku kumi katafute odds zako sikilizia kesho
Sayansi msingi wake ni kitu kinachoingia akilini baada ya utafiri na ufafanuzi.Hana uwezo wa kufanya uchambuzi wenye mantiki juu ya mada husika kwa sababu anaonekana hana msingi mzuri wa sayansi (achilia mbali fizikia na jiografia).
Sayansi anuhali (general science) ni mgogoro tupu kwa huyo jamaa yenu.
Mbishi huyooo; lakini kusoma akaelewa, aaaghhhhgh!!!
Hivi geti la nyumbani kwako likiwa wazi, ila mbwa kafungwa mnyororo, ataweza kutoka kisa hakuna tena kizuizi?Ulikimbia physics? Ni kati ya basic concepts hii. Google haishindwi hili
Ukweli ni nini? Utaujuaje huu ukweli na huu uongo?Sijasoma sana relativity, lakini nimemsoma Einstein na nimegundua alitumika kupotosha na kutunga nadharia ambayo itaficha ukweli.
🤣🤣Kwa mujibu wa NASA, dunia haipo closed, viumbe na vitu vyote vipo nje ya uso wa dunia,dunia inaelea katika space ambayo ipo wazi pande zote
HIYO SPACE YOTE IMEJAZWA NA HEWA , LAKINI OXYGEN IPO KWENYE USO WA DUNIA PEKEE KWA SABABU NDIPO HUZALISHWA NA MIMEA, IKIPANDA JUU KUNA PRESSURE YA KUISHUSHA CHINI.
Chini ya dunia ni wapi huko? Bila kulielewa swali, haiwezekani kujibu kwa usahihi.Na vipi mbona maji ambayo yako chini ya Dunia hayamwagiki?
Huyo hajui maana ya pressure. Period.Jamaa unayofikiria hayana ushirikiano 😂😂😂
Kwa hyo ulitaka gesi iwe inafungwa kwenye gazeti? 😂😂
Mimi naona hii gravity ni ubabaishaji tu,inaact vipi according to weight na kwamba eti the heavier the matter the more it is affected.Bro ,umeshajibiwa kuwa ni Gravity...
Gravity ina effects kulingana na uzito wa matter....Heavier the matter,the more it is affected.....
Ameambiwa mara tatu tatu kwamba uwepo wa mgandamizo wowote ule, sharti pawepo na kitu chenye uzito.Sayansi msingi wake ni kitu kinachoingia akilini baada ya utafiri na ufafanuzi.
So unapokutana na mtu hajaridhika na majibu basi ni fika kwamba majibu hayajitishelezi.
😂😂Kazi ipoMbona unanilisha maneno yako butu? Nisome tena aseee. Ikiwezekana mtafute mkalimani akusaidie kwa kilugha.
Nina hakika hujui kusoma kabisa; umekariri tu herufi za alfabeti wewe.
Dah!Mimi naona hii gravity ni ubabaishaji tu,inaact vipi according to weight na kwamba eti the heavier the matter the more it is affected.
Ndege kifaa inaruka juu zaidi ya ndege kiumbe.
Wakati huo ndege kifaa ni nzito kuliko ndege kiumbe.
So tulitegemea hii ndege isiweźe kuruka juu zaidi ya ndege kiumbe kwani ni nzito hivyo ingeathiriwa na gravitational force.
Kwa mantiki hiyo dhana ya kwamba grav.force inaathiri kitu kizito zaidi sio kweli,mbona imeshindwa kuathiri kifaa kizito ndege na inamuathiri binadamu ambae ni mwepesi kuliko ndege ?
Eti mkuu Bob Manson hii imekaa sawa kweli ?
Mada ilipaswa kuishia hapa.Hewa ina uzito kama wewe.
Sababu inayokufanya wewe usiruke juu na kutoka nje ya uso wa dunia, ndiyo hiyo hiyo inayofanya hewa isitoke nje ya uso wa dunia.
Gravity.
Ushaelewa?
Hsya ni maelezo yasiyoingia akilini.Very good question!
Iko hivi, kuna factors nyingi zinazopelekea dunia iweze kuretain thick atmosphere ukilinganisha na sayari nyingine.
Sababu kuu ni gravity, sote tunajuwa gravity pulls everything down toward the earth's center. But gravity sio kitu cha pekee kinachofanya kuwe na atmosphere ya kutosha mfano mars inagravity pia lakin haina thick atmosphere ukilinganisha na dunia, why?
Hapa ndo inakuja Earth's magnetic field, kuna kitu kinaitwa solar storm ni kama wind but yenyewe inakuwa na charged particles emitted from the sun hizi particles zinauwezo wa kugongana na particle za atmosphere zikiwa zinakuja kwa speed zikaondoa kabisa hewa (imagine ukipuliza sehemu saivi) uwepo wa magnetic field unarepell (moving charges normally experience force when passed in region containing magnetic field) kwahiyo magnetic field ya dunia inasukuma hizi particles hazifiki huku kwenye lower atmosphere inaishia juu juu (thus why the upper atmosphere is mostly comprised of ionized molecules, ionosphere) sayari ambazo hazina strong magnetic field mfano mars utakuta atmosphere yake nyingi huondoshwa na hizi solar storms. Ukiunganisha hizi sababu mbili utaona kwanini mwezi hauna atmosphere (low gravity about 1/6 ya hapa duniani, low magnetic field strength)
Pia kuna kitu kinaitwa diffusion, in physics sisi tunasemaga ukiwa na mchanganyiko wa gases, rate ambayo gase molecules zinadiffuse (uwezo wa molecules za gas ku-move juu ya molecules za gas nyingine/ kwa maneno rahisi kusambaa) uko inverse proportional na density (Graham's law of diffusion) for this reason most of high denser gases like Oxygen, carbon dioxide utazikuta huku on the lower atmosphere kwasababu zinauwezo mdgo wa kudiffuse especially over lower denser gases like nitrogen which comprise about 78% ya atmosphere kama sikosei
Finally kuna baadhi ya activity zinapelekea kuzalisha gases hapa duniani. Plants produces oxygen, animals produces carbondioxide, water masses like oceans zinazalisha vapour, volcanic activities zinazalisha mages kibao pia. Ukijumlisha na stronger gravity, strong magnetic field, low rate of diffusion for heavy gases it makes sense for Earth to retain its atmosphere
Swali la mtoa mada linawafanya mtumie kila kanuni kutetea majibu yenu.Umetaja pointi ya maana sana ambayo nina hakika huielewi kikamilifu. Ni kama vile umeitema kibahati nasibu.
Kinachosababisha shinikizo au mgandamizo wa hewa au chochote kile ni kani mvutano ambayo hukifanya kitu hicho kuuzonga uso wa dunia.
Ukingo au kizuizi hapa ni uso wa dunia ama ardhi ambayo hewa au maji au chochote hukandamiza.
Wakati hewa yenyewe, mathalani, inaishinikiza dunia kwa sababu ya uzito wake, dunia nayo (kizuizi/ukingo) huisukuma hewa kuelekea juu.
Hii ni kwa mujibu wa sheria ya tatu ya mwendo au mjongeo ya Newton.
^Kwa kila tendo kuna mwatuko wiani na ulio kinyume chake.^
Sasa ulitakiwa upinge hoja kwa hoja yenye mashiko.Hsya ni maelezo yasiyoingia akilini.
Mwenye kuyaamini haya maana yake ana amini sayansi,yaani maelezo hayaingii akilini inabaki kuamini tu kama tunavyoamini Dini.
Maelezo yakiwa mengi bado sio ishaara ya kwamba jambo hilo linaeleweka.
Hivyo msijikite kwenye maelezo pekee,bali mjikite kwenye maelezo yanayoeleweka na kuingia akilini.
Mnaturudisha kwemye Dini ya sayansi,yaani ni chenga tupu hakuna logic kabisa😁
Tupo kwenye birika lenye mfuniko. Hii inaleta mantiki.Swali la mtoa mada linawafanya mtumie kila kanuni kutetea majibu yenu.
Mara newton,mara ozond layer,mara mzunguko wa dunia,mana gravitation.
hayo yote ni maelezo yasiyoingia akilini,labda tuyaamini kama tunavyoamini Dini,ila akilini hayaingii tunabKi kuaminishana tu.
Hiyo center iko wapi ?The force that attract towards it's center
Unawaza sahihi kabisa.Mimi bado nafanya tafiti kuhusu hilo.
pia kuhusu Gravity na Mambo mengine, hata mimi niliyasoma nikiwa shule, tena nilikuwa napenda sana hizo topic. Niliamini na nilikuwa na ndoto za kujifunza zaidi kuhusu space.
Lakini kwa sasa nimepata mashaka kidogo kuhusu hii nadharia, na najaribu kudadisi na kufanya tafiti kuhusu nadharia mbadala..
Lengo la kuuliza au kuleta mada hii, ni kujaribu kuona ni namna gani wenzangu bado wanaishi kwa kuamini mambo ya shuleni pasipo kuhoji na kutafakari kwa kutumia akili zao binafsi....
MImi bado sijaona uthibitisho wa kwamba kuna gravity.Gravity. Vinginevyo hata ardhi ingesambaratika.
Ningekuona mwenye busara kama ungesema kwa nini unadhani hayo yaliyofafanuliwa hayaingii akili mwako.Swali la mtoa mada linawafanya mtumie kila kanuni kutetea majibu yenu.
Mara newton,mara ozond layer,mara mzunguko wa dunia,mana gravitation.
hayo yote ni maelezo yasiyoingia akilini,labda tuyaamini kama tunavyoamini Dini,ila akilini hayaingii tunabKi kuaminishana tu.