Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #241
Nimeuliza ni kipimo gani hutumika kupima huo mkandamizo lakini hakuna aliyenipa jibu, wote wanasema Gravity Gravity Gravity.........Hiyo center iko wapi ?
Mfano tu sumaku
Unawaza sahihi kabisa.
Ndio maana hapa hakuna anayekuja na jawabu moja linalomake sense.
Wote wanakuja na majibu ambayo hayo majibu yenyewe yana utata.
Mtu anasema gravitational force wakati hiyo gravitational force yenyewe kuithibitisha ni tatizo.
Mtu anasema kwa sababu eti dunia inazunguka,wakati kuthibitisha kama dunia inazunguka pia ni ishu.
So wanakuja na majibu ya kukariri darasani wakati wewe umeuliza swali linalotaka common sense kulifahamu basi waje na majibu yenye common sense kabisa yenye logic.
Nafanya ninachotaka kufanya, kama wewe unaona ninalofanya halina maana, ni vyema ukaendelea kufanya yako ambayo yana maana.Unafanya utafiti? Are you serious π? Hii ndo methodology unahis itakupa majibu
Inaonekana huna skills za research bado huna msingi wa physics sasa unahis utapataje majibu?
Waliofanya tafiti wakagundua Dunia ni duara na inazunguka wamefanikiwa kutengeneza satellites,na vitu vingi vya kianga vinavyosaidia Dunia
Sasa ww unataka ugundue nn au unafanya tu umbea π
Huo mkandamizo hauathiriki na mzunguko mkali wa dunia? Huo mkandamizo unazuia hewa tu isifike mbali?Swali lako ni muhimu sana na linahitaji ufafanuzi juu ya jinsi angahewa (atmosphere) inavyofanya kazi duniani.
Kwanza kabisa, ni muhimu kuelewa kwamba hewa inayozunguka dunia ipo ndani ya tabaka la angahewa (atmosphere) ambalo linafanya kazi kutokana na nguvu za uvutano (gravitational force) za dunia. Hii mvuto wa ardhi unafanya kazi kama kizuizi cha asili ambacho kinazuia hewa isikimbie kwenda kwenye anga la wazi.
1. Nguvu za Uvutano (Gravity): Nguvu za mvuto wa dunia huvuta hewa na gesi nyingine kuelekea kwenye uso wa dunia. Nguvu hizi zina nguvu zaidi karibu na uso wa dunia na hupungua unapoenda juu. Ndiyo sababu hewa ni nyingi zaidi karibu na ardhi na inakuwa nyepesi zaidi (yaani hewa inavyoongezeka juu haina msongamano mkubwa).
2. Mgandamizo wa Hewa: Mgandamizo wa hewa hutokana na uzito wa hewa uliopo juu kushinikiza hewa iliyopo chini. Hii husababisha hewa kuwa na mgandamizo mkubwa karibu na uso wa dunia na mgandamizo huo hupungua unavyopanda juu.
3. Tabaka za Angahewa: Angahewa ya dunia imegawanyika kwenye tabaka tofauti kama vile Troposphere, Stratosphere, Mesosphere, Thermosphere, na Exosphere. Tabaka hizi zina kiwango tofauti cha mgandamizo na joto, na zote zimeshikiliwa pamoja na nguvu za uvutano wa dunia.
4. Mzunguko wa Hewa (Atmospheric Circulation): Mzunguko wa hewa duniani unachangiwa na joto kutoka kwenye jua. Jua huinyesha uso wa dunia, na kufanya hewa ya chini kuwa joto na kuanza kupanda juu. Hewa hiyo inapofika juu, inapoa, na kushuka tena. Hii mzunguko unasaidia kusambaza hewa duniani kote, kuweka hewa kwa mgandamizo tofauti sehemu mbalimbali.
Kwa hiyo, huku dunia ikiwa ndani ya anga (space) isiyokuwa na mwisho, nguvu za uvutano wa dunia zina uwezo wa kuzuia hewa isikimbie na kuifanya iwe na mgandamizo tukiwa kwenye uso wa dunia. Angahewa la dunia ni kitu cha kipekee kinacholindwa na mvuto wa ardhi ambao umeweka msingi kwa viumbe hai kuishi.
Hiyo ni sawa na kumwaga mchanga kikombe kimoja kwa lengo la kuchafua bahari nzima.Basi kwanini ukispray perfume au ushuzi hausambai dunia nzima?
Kama una jibu la hili swali basi mada imeishia hapo
Kwa mujibu wa hiyo sayansi yenu, chini au katikati ya dunia kuna kitu kinaitwa ' inner core' yani kiini cha dunia, kuna joto na mvutano mkali...Chini ya dunia ni wapi huko? Bila kulielewa swali, haiwezekani kujibu kwa usahihi.
Hili jibu ni sahihiHiyo ni sawa na kumwaga mchanga kikombe kimoja kwa lengo la kuchafua bahari nzima.
Kwanini kunakuwa na upepo mkali? Hiyo ni ishara ya mkandamizo mkali au pressure, kitu ambacho ili kutokea ni lazima kuwe na mwanzo na mwisho wa vizuizi ambayo husababisha mkandamizo huo kwa ndani.Hili jibu ni sahihi
Dunia ni kubwa sana kwetu sisi lakini katika mfumo wa sayari na anga za mbali dunia ni sawa tu na kikombe cha mchanga baharini kama ulivyosema hapo
Mazingira ya dunia ndiyo sources ya kuzalisha oxygen kwa hiyo husambaa kadiri ya nguvu yake na uwezo wake unapoishia na ukienda zaidi kuna mazingira mengine yanayosababisha uzalishaji mwingine wa hewa
Nimeku-pm, nimekutumia email yanguMkuu wazo zuri hilo, ila kwa sasa nipo milimani nikirudi town tutafanya jambo
Nimeiona Mkuu, pia nimekutumia yanguNimeku-pm, nimekutumia email yangu
Sijasema definition yake. Maana na mawanda yake inayajua?Ni kani mvutano,hiyo ndio maana yake inajieleza katika tafsiri
Unaposema chini au katikati ya dunia, una maana gani?Kwa mujibu wa hiyo sayansi yenu, chini au katikati ya dunia kuna kitu kinaitwa ' inner core' yani kiini cha dunia, kuna joto na mvutano mkali...
Shimo kubwa kuwahi kuchimbwa kwenda chini lilikuwa na urefu wa only 7.6 miles deep...
SWALI: hawa wanasayansi waliwezaje kupima na kujua katikati ya dunia kuna nini endapo hakuna shimo au nafasi ambayo iliwahi kuchimbwa kuzidi hiyo ya ambayo nimeitaja hapo juu?
Kwaiyo huamini kama kuna kitu kinaitwa 'inner core?Unaposema chini au katikati ya dunia, una maana gani?
Mwenzio niliyemuuza bila shaka alimaanisha upande wa pili, aliposema chini ya dunia.
Ni kama kusema mtu mmoja yuko ncha ya kaskazini, hivyo chini yake ni ncha ya kusini.
Ndiyo maana nikamtaka afafanue.
Na wewe hapa umeuliza swali lenye mkanganyiko uleule kama wake.
Maelezo yanahitajika hapo.
Kwani akina mewton na eisten walisoma physics wapi wakagundua waliyogundua ?Huwezi kupata sense kama huna msingi wa hayo mambo mtu anasema hajasoma physics hajui hayo mambo kwa undani unahisi ataelewaje?
Ni sawa na kuangalia mpira na mwanamke atakuwa anauliza tu maswali yasiyokuwa na misingi kuhusu sheria za mpira na hatakuelewa πππ
Maneno mengi ya kiohysics lakini logic hakuna kitu.Hapa hatuongelei magnetic attraction mzee tunaongelea gravity
Inahitaji uwe unakumbka mambo ya circular motion na rotational Dynamics
Tetea hoja yako usitake maelezo kutoka kwangu,mimi nimeshakujibu hata kama haujaridhika wewe ndio utoe jibu litakalokuridhisha usisubiri nikuridhishe mimiSijasema definition yake. Maana na mawanda yake inayajua?
You're clearly suffering from CLBSF - critical lack of basic scientific facts.
Sasa kama Newtown aligundua hiyo gravitational force inayo support kwamba Dunia ni umbo kama la mpira na mnakataa kwamba tunakaritishwa ilihali hayo yenyewe yaliwasinda ππ unataka ugundue nn na hayo yalishagunduluwa tayari ππKwani akina mewton na eisten walisoma physics wapi wakagundua waliyogundua ?
Kama wao waliweza kufikiria na kugundua hayo bila kusoma phsyics darasani kwa nini unawawekea ukomo watu wengine kuyaelewa haya mambo na kwamba lazima wakasome miaka darasani .
Ulitakiwa uelewe gravity ukiwa form one mwisho form two kama ilikupita hapo sahau kuijua tena πππTetea hoja yako usitake maelezo kutoka kwangu,mimi nimeshakujibu hata kama haujaridhika wewe ndio utoe jibu litakalokuridhisha usisubiri nikuridhishe mimi
Elezea ni nini gravity then kutoka kwenye maelezo yako sasa ndio uangalie nitatoka na hoja gani,sio unaniuliza mimi kuhusu kitu hicho nikikujibu bado hauridhiki na hiyo inaonesha una majibu yako mfukoni.
Si kweli kwamba hawezi kupata majibu ya kueleweka. Anaweza kuoata majibu sahihi ila akashindwa kuyaelewa kutokana na level yake maarifa aliyonayo juu ya kile anachokitafuta.Acha kusumbua watu hapa mkuu,hutopata majibu ya kueleweka,Swali lako hilo liweke Kwa Lugha ya Kiingereza halafu uingie Google utapata majibu ya uhakika na Utaridhika
Bado haujajua Google utafyte nini..huko kuna mkusanyiko mwingi wa taarifa instegemea unaandikaje ili upate unachokitaka.Google kote nimepita na bado sijaona hoja yenye mashiko, naamini hapa nitapata mawazo au maoni tofauti.
Aliyegundua gravity aligundua akiwa form ngapi ?Ulitakiwa uelewe gravity ukiwa form one mwisho form two kama ilikupita hapo sahau kuijua tena πππ