Copro mtego
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 619
- 796
Hiyo ndo misingi sasa ya mjadala maana ake kama huelewi hivyo vitu hutakaa uelewe tafta kazi nyingine ya kufanya 😂😂Maneno mengi ya kiohysics lakini logic hakuna kitu.
Unadhani hayo maneno mnayoyaleta hapa yatamaliza mjadala huru kama huu mkuu ?
Haya bhana
Inataka imani kuelewa haya melezo.Si kweli kwamba hawezi kupata majibu ya kueleweka. Anaweza kuoata majibu sahihi ila akashindwa kuyaelewa kutokana na level yake maarifa aliyonayo juu ya kile anachokitafuta.
Bado haujajua Google utafyte nini..huko kuna mkusanyiko mwingi wa taarifa instegemea unaandikaje ili upate unachokitaka.
Majibu yako:
Sababu zinazofanya hewa isitoke nje.
Kumbuka kuwa hewa ni gesious state.
1. Density
Hewa katika anga imekaa zimejipanga katika layers kutokana na density zake.
2. CORIOLIS FORCE AND EFFECT
Dunia ipo katika mzunguko (rotation) na umbo la dunia ni oblate sphere. Hewa around the globe inakwenda clockwise katika ncha ya kaskazini na kinyumbe chake katika ncha ya kusini. Kadri dunia inavyozunguka hulazmisha gesi iliyokaribu zaidi na dunia kufanya mizunguko hyo niliyoeleza hapo juu ya clockwise na counterclockwise kutoka katika poles kushuka katika equator.
Hewa katika mweendo hutegemea vitu vingi mojawapo ni hivi.
a) Mgandamizo ambapo husukuwa kueleka kwenye mgandamizo mdogo.
b) External force. Inaweza kufanya hewa kuwa katika mwendo. Coriolis force. Jifanyie majaribio kwa kukaa sehemu tulivu kisha zungusha mkono wako kwa nguvu. Utakuwa unforced kutengeneza mwendo wa hewa.
3. Shape of the globe.
Katika ikweta dunia huzunguka kwa kazi zaidi kuliko katika ncha za kusini na kaskazini. Hufanya kuvuta hewa iliyozunguka dunia by force kuvuta kuelekea kwenye globe. Sehemu yenye mzunguko wa kasi zaidi itakuwa na pressure kubwa zaidi. (Jifanyie practice kwa kukaa kando ya barabara na gari kubwa ipite kwa kasi karibu yako. Utavutwa barabarani)
4. Centrifigure force. (Ukasome mwenyewe ndio mana nikasema yawezekana haufahamu unachokitafuta. Husisha centrifigure theory and air mass/atmospheric pressure)
Naamini utakuwa umeelewa. Kama sio kupata mwangaza.
😂😂😂 🙌🙌 Haya na ww kagundue Dunia yako iliyokaa kama CD 😂😂😂Aliyegundua gravity aligundua akiwa form ngapi ?
Ukiweza kujibu maswali niliyouliza jana ungekuwa na majibu sa izInataka imani kuelewa haya melezo.
Hayaingii akilini.
Nadhani hizi sayansi nazo ni IMANI kama zile za kidini,maelezo mengi lakini facts hakuna.
Mtu akitaka facts anarudishwa kwenye maelezo hayo hayo ambayo facts hayana.😁
Maswali ganiUkiweza kujibu maswali niliyouliza jana ungekuwa na majibu sa iz
Huna hoja na majibu ya msingi zaidi ya vicheko tu😂😂😂 🙌🙌 Haya na ww kagundue Dunia yako iliyokaa kama CD 😂😂😂
Na mm ngoja nikagundue ya kwangu iliyokaa kama beseni 😂😂
Check post #259Huna hoja na majibu ya msingi zaidi ya vicheko tu
Nikikaa barabarani lazima nitahisi navutwa endapo gari litapita karibu yangu, na hiyo ipo proved bila shaka.3. Shape of the globe.
Katika ikweta dunia huzunguka kwa kazi zaidi kuliko katika ncha za kusini na kaskazini. Hufanya kuvuta hewa iliyozunguka dunia by force kuvuta kuelekea kwenye globe. Sehemu yenye mzunguko wa kasi zaidi itakuwa na pressure kubwa zaidi. (Jifanyie practice kwa kukaa kando ya barabara na gari kubwa ipite kwa kasi karibu yako. Utavutwa barabarani)
Ni kwa sababu mnachekesha hujui hata maana ya gravity halafu unahoji kuhusu gravity ni bora ukajifunze Kwanza hiyo gravity ndo utaelewaHuna hoja na majibu ya msingi zaidi ya vicheko tu
Maana ya Gravity ni mkusanyiko wa maneno tu, nataka uthibitishe uwepo wa hiyo Gravity kwa kunipa mifano hai na sio kusema ukirusha jiwe juu linarudiNi kwa sababu mnachekesha hujui hata maana ya gravity halafu unahoji kuhusu gravity ni bora ukajifunze Kwanza hiyo gravity ndo utaelewa
Theories huwa verified kwa vitu vinavyoonekana kutoka vitu vidogo kwenda kubwa kama mazingira ni costant theories inaapply the same. Kama unakubali kuwa unaweza kuvutwa kutokana na kasi nsivyo apply kwenye dunia ingawa huwezi kukaa juu ya dunia kama umepands juu ya mpira uangalie upepo unavyovutwa.Nikikaa barabarani lazima nitahisi navutwa endapo gari litapita karibu yangu, na hiyo ipo proved bila shaka.
Je, umeshawahi kuhisi au kuona namna ambavyo dunia inazunguka kwa kasi na kuvuta hewa upande wa globe?
Ni vipimo au namna gani hutumika kugundua na kushuhudia huo mzunguko na uvutwaji wa hewa? Nani aliwahi kuona hicho kitu?
Ukweli ni nini? Utaujuaje huu ukweli na huu uongo?Bado sijajua ukweli ni upi
Upepo unatokana na pressure au mkandamizo na sio mzunguko wa dunia.Theories huwa verified kwa vitu vinavyoonekana kutoka vitu vidogo kwenda kubwa kama mazingira ni costant theories inaapply the same. Kama unakubali kuwa unaweza kuvutwa kutokana na kasi nsivyo apply kwenye dunia ingawa huwezi kukaa juu ya dunia kama umepands juu ya mpira uangalie upepo unavyovutwa.
Ila uthibitisho wake ni kutoka na effect inayoonekana katika dunia kama kuwa na Airmass flows.
Kwa kufanya tafiti binafsi na kutumia akili za asili, pasipo kuhusisha nadharia ambazo nimefundishwa bila kupewa nafasi ya kuhoji.Ukweli ni nini? Utaujuaje huu ukweli na huu uongo?
Hayo yote hayakuzuii kukubali uongo kama ukweli.Kwa kufanya tafiti binafsi na kutumia akili za asili, pasipo kuhusisha nadharia ambazo nimefundishwa bila kupewa nafasi ya kuhoji.
Hilo silielewi, ninacho kifanya ni kurudia upya kudadisi kuhusu mambo ambayo nilifundishwa bila kupewa nafasi ya kuhoji.pengine, mambo kama "kufanya tafiti binafsi" yanakuongezea nafasi ya kukubali uongo kama ukweli.
Unaelewa hilo?
Kwa mujibu wa NASA, dunia haipo closed, viumbe na vitu vyote vipo nje ya uso wa dunia,dunia inaelea katika space ambayo ipo wazi pande zote na haina mwisho.
Je, inakuwaje mpaka duniani panakuwa na mgandamizo wa hewa wakati pande zote zipo wazi?
Kama kila kitu kinavutwa kuelekea chini, kwanini angani tunaona ndege wanaruka?Juu ya uso wa dunia, kila kitu huvutwa kuelekea kitovu cha dunia (gravity), hivyo hata hewa kuvitwa na kani hiyo na ndio maana haipotei kwenye space...
Nyie watu wa arts mnasumbua kweli....so wewe unaona nimeuliza swali...Mimi naona hii gravity ni ubabaishaji tu,inaact vipi according to weight na kwamba eti the heavier the matter the more it is affected.
Ndege kifaa inaruka juu zaidi ya ndege kiumbe.
Wakati huo ndege kifaa ni nzito kuliko ndege kiumbe.
So tulitegemea hii ndege isiweźe kuruka juu zaidi ya ndege kiumbe kwani ni nzito hivyo ingeathiriwa na gravitational force.
Kwa mantiki hiyo dhana ya kwamba grav.force inaathiri kitu kizito zaidi sio kweli,mbona imeshindwa kuathiri kifaa kizito ndege na inamuathiri binadamu ambae ni mwepesi kuliko ndege ?
Eti mkuu Bob Manson hii imekaa sawa kweli ?
Majibu ameshapewa tayari ila anaendeleza ligi tu.Acha kusumbua watu hapa mkuu,hutopata majibu ya kueleweka,Swali lako hilo liweke Kwa Lugha ya Kiingereza halafu uingie Google utapata majibu ya uhakika na Utaridhika