Mimi naona hii gravity ni ubabaishaji tu,inaact vipi according to weight na kwamba eti the heavier the matter the more it is affected.
Ndege kifaa inaruka juu zaidi ya ndege kiumbe.
Wakati huo ndege kifaa ni nzito kuliko ndege kiumbe.
So tulitegemea hii ndege isiweźe kuruka juu zaidi ya ndege kiumbe kwani ni nzito hivyo ingeathiriwa na gravitational force.
Kwa mantiki hiyo dhana ya kwamba grav.force inaathiri kitu kizito zaidi sio kweli,mbona imeshindwa kuathiri kifaa kizito ndege na inamuathiri binadamu ambae ni mwepesi kuliko ndege ?
Eti mkuu
Bob Manson hii imekaa sawa kweli ?