Kama hewa itatoka katika eneo lililo na uwazi, je ni kitu gani huzuia hewa isitoke nje ya uso wa dunia?

Mwenzako anakwambia kuna mfuniko😂😂😂,
Hii argument haiendi kokote, huu muda kama una buku kumi katafute odds zako sikilizia kesho
 
Hiyo kani au mvutano haiathiriki na mzunguko mkali wa dunia?
Inaonekana kuna vitabu umesoma kama ungekuwa unaelewa centripetal force na suctioning effect ndo ungeelewa gravity inatokea wap so usingeuliza swali kama hili
 
Inaonekana kuna vitabu umesoma kama ungekuwa unaelewa centripetal force na suctioning effect ndo ungeelewa gravity inatokea wap so usingeuliza swali kama hili
Centripetal Force Ni nini? Nijuze tafadhali
 
Bado nafanya tafiti, kuhusu huo mfuniko nayo ni tafiti mojawapo nafanya, bado sijapata uhakika ni njia au jibu lipi ni sahihi
Utafiti hata ukiuona utaujua?

Are you also a flat earther?
 
Baharini kunajulikana kijiografia kuwa ni bondeni. Sasa inawezekanaje kitu chenye ujazonene mkubwa, kama udaivyo, kisiwe huko bondeni?

You're clearly missing something important.
Kwahyo unataka kusema kwamba baharini hakuna hewa?

For your information
Baharini gases zimo including oksijen na carbon dioxide ndomana samaki na viumbe wa majini wanasurvive huko kwasababu kuna hewa pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…