Kama hii screenshot ni kweli basi tumekwisha

Mbona kuhakiki dakika 0 tu, wala kulikuwa hamna sababu ya kuanzisha post.

Hiyo bei unaweza kuta ni kutoka kwa ma agent na siyo Precision air wenyewe.

Na hata page ya precision air haitumii rangi hizo.

 
wengine wala hata haitushtui maana hatuna mpango wa kupanda leo wala kesho hiyo ndege...
labda sportpesa wanipe changu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…