Kama hii 'taarifa' ya Chama na Msuva 'Kutambulishwa' Simba SC Leo au Kesho nawaombea 'Msamaha' Yanga SC kwani Simba SC 'haitoshikika tena ndani na nje

Kama hii 'taarifa' ya Chama na Msuva 'Kutambulishwa' Simba SC Leo au Kesho nawaombea 'Msamaha' Yanga SC kwani Simba SC 'haitoshikika tena ndani na nje

Ila anaweza Kuchezea Timu yenye Bwawa la Chura na Perege wengi pale Jangwani ndani ya Maji Machafu yenye Vinyesi ( Makimba ) ya Mto Msimbazi yakielekea Baharini?
Mkuu wape heshima Perege, sema tu lenye vyura wengi[emoji3][emoji3]
 
Hela ya kumlipa Msuva hamna, halafu Msuva kule anag'aa sio huyo Chama anaye fikiria starehe za Kidimbwi, 40/40 nk.Nilikuwa na matarajio Mengi kwa Chama alivyo odoka ila karudi ngojea tumuone.
Chama anarudi akiwa wa moto
Screenshot_20220114-154733.jpg
 
Chama anarudi akiwa wa motoView attachment 2080913
Wamoto wapi ndugu yangu yaani Match moja ndio wa moto, yaleyale ya Jaja na Yanga na performance yake na Match ya Azam ngao ya hisani. Mechi kibao alikuwa anakaa benchi.Hapo unaweza ukakuta mechi yenyewe aliyo perform sio ya ligi ni hizi mechi za kawaida kama hizi za Azam Confederation unacheza mpaka na timu za daraja la 3.

Hii ligi yetu ni ya kichovu.
 
Ingesemekana anakuja Yanga SC Kauli yako hii ungeisema / ungeandika hivi? Mnafiki mkubwa Wewe.
Hawa utopolo wangeshinda uwanjani siku 3 kumsubiri Chama. Bahati nzuri kafanya uchaguzi bora kurudi kwa wastaarabu na kukwepa wazee wa mwiko nyuma
 
Back
Top Bottom