Mkuu wape heshima Perege, sema tu lenye vyura wengi[emoji3][emoji3]Ila anaweza Kuchezea Timu yenye Bwawa la Chura na Perege wengi pale Jangwani ndani ya Maji Machafu yenye Vinyesi ( Makimba ) ya Mto Msimbazi yakielekea Baharini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu wape heshima Perege, sema tu lenye vyura wengi[emoji3][emoji3]Ila anaweza Kuchezea Timu yenye Bwawa la Chura na Perege wengi pale Jangwani ndani ya Maji Machafu yenye Vinyesi ( Makimba ) ya Mto Msimbazi yakielekea Baharini?
Chama anarudi akiwa wa motoHela ya kumlipa Msuva hamna, halafu Msuva kule anag'aa sio huyo Chama anaye fikiria starehe za Kidimbwi, 40/40 nk.Nilikuwa na matarajio Mengi kwa Chama alivyo odoka ila karudi ngojea tumuone.
Wamoto wapi ndugu yangu yaani Match moja ndio wa moto, yaleyale ya Jaja na Yanga na performance yake na Match ya Azam ngao ya hisani. Mechi kibao alikuwa anakaa benchi.Hapo unaweza ukakuta mechi yenyewe aliyo perform sio ya ligi ni hizi mechi za kawaida kama hizi za Azam Confederation unacheza mpaka na timu za daraja la 3.Chama anarudi akiwa wa motoView attachment 2080913
Hawa utopolo wangeshinda uwanjani siku 3 kumsubiri Chama. Bahati nzuri kafanya uchaguzi bora kurudi kwa wastaarabu na kukwepa wazee wa mwiko nyumaIngesemekana anakuja Yanga SC Kauli yako hii ungeisema / ungeandika hivi? Mnafiki mkubwa Wewe.